majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 567
snowhite napenda maandishi yako!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly my point
Sifa zije natural ..
sifa za kuombwa na kukumbushwa uzitoe
'zina walakin'
na sisi wengine twapenda tutuoe sifa 'genuine'..
Hawa watu wanapenda kusifiwa dah! Huko katika Facebook wanapenda kuweka picha za pozi ili kina sisi tusema "umependeza"
Sawa ni wajibu wetu kuwapikia,sawa ni wajibu wetu kuwafulia,sawa ni wajibu wetu kunyoshea nguo,sawa ni wajibu wetu kulea watoto,sawa ni wajibu wetu kuweka vyumba na nyumba nzima safi,sawa ni wajibu wetu kujiremba.lakini jamani kwanini wengi wenu ni ngumu sana kuonyesha mmefurahi,mwambie mkeo umependeza,wife leo msosi wa leo baaab kubwa,honey leo umekatika vizuri ile mbaya,au mke wangu mashuka uliyonunua ni mazuri yameshine vizuri sana kitandani,kama mkeo /mpenzi amebadili style ya nywele and it appeals t yu si umwambie?kama amebadilisha setting ya bedroom kwanini usimwambie kilivokuvutia kwa hu mpangilio mpya!PLEASE JAMANI TUPENI TU HIZO CREDITS ZETU !
Thanx!!ahsante mkuu!yanakuinspire vitu flani i hope!karibu tujifunze pamoja
sasa na we ukinisifia la uongo ndo inakusaidia nini?nisifie lililo la kweli as well as kunikosoa kwenye la ukweli pia!
Mie nimezoea kusifu kimoyomoyo kwani najua ukimsifu mgema Tembo atalitia maji........................LOL