Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Pia kaa mbali na mwanamke ambae aliolewa kisha akaachana na mmewe, tena awe kwenye 30-45.

Usicheze kabisa na hisia zake, akikupenda amekupenda kweli.

Ndoa ni kitu kingine kabisa kwa hii jinsia aiseee.
Umeona eennh?.
 
Usijifariji mkifika 35 nguvu za kiume zinaisha vijana tu wa 30 majogoo yao hayapandi mitungi sembuse huo umri mnatumia viagra
na wewe unaichosha sana hiyo Kei, kuanzia vijana wa 30 hadi 35 washaikatia viuno, daaaaah
 
naam
 
Naunga mkono hoja zote zilizoletwa kwenye uzi huu hususani zile zenye lengo la kuwalinda wadogo zetu kama Cariha na wengineo dhidi ya mafisi
 
Hahahahahaha....Kaka alimtaja Mama ako alokuzaa na Akili ya kushindwa kupembua mambo Nani...MTOTO HASATA WEWE BORA ANGEKUTUPA CHOONI ..ptuu
Samahani ww ni Mama naomba uwe na kauli nzuri najua ni hasira ila jaribu kuwa mvumilivu kwa wajinga km hao.

Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…