Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Umeona eennh?.Pia kaa mbali na mwanamke ambae aliolewa kisha akaachana na mmewe, tena awe kwenye 30-45.
Usicheze kabisa na hisia zake, akikupenda amekupenda kweli.
Ndoa ni kitu kingine kabisa kwa hii jinsia aiseee.
na wewe unaichosha sana hiyo Kei, kuanzia vijana wa 30 hadi 35 washaikatia viuno, daaaaahUsijifariji mkifika 35 nguvu za kiume zinaisha vijana tu wa 30 majogoo yao hayapandi mitungi sembuse huo umri mnatumia viagra
naamWadada wengi siku hizi haswa walio fika miaka 27 na kuendelea wanakuwa ni waoga sana wa kuachwa na uwoga wa maisha. Kiufupi wana kuwa desperate kiasi fulani.
Tusidanganyane ndoa kwa mwanamke ni kitu kikubwa sana. Kina mpa heshima katika jamii. Mwanamke anaye fika hadi umri wa miaka 30 bila ya kuolewa anaonekana kama alikuwa anauchezea ujana wake kwa kubadilisha wanaume. Ambao kwa namna moja au nyengine ina ukweli fulani.
Ushauri kwa vijana wenzangu tuwe makini sana kudate na hawa wanawake. Kama kweli umempenda kwa dhati basi vizuri lakini kama unapita tu bora umwambie ukweli. Wanawake wa rika hili wana kiu ya ndoa na kupata mtoto kwa hali ya juu.
Sisemi kwamba mwanamke anaye kuwa na 27+ kisa haja olewa ni mbaya hapana. Tena wengi wao wanakuwa ni watoto wa kishua, wanapesa zao na elimu zao. Swali linakuja nani ATAMFUNGA PAKA KENGELE. Maana itakuwa kama wewe ndo unaolewa sasa.
Ukidate na mwanamke wa umri wa 27+ kuwa makini haswa kama kwenu mko vizuri, hapo naongelea mwanamke kama anatokea familia ya chini au kawaida. Kama hutamzawadia mimba basi ndoa. Jipange kwa hayo mawili. Ukisema una test kama wamo au hawamo jua fika unajitafutia matatizo.
Kama hauko tayari kuingia kwenye ndoa au kupata mtoto kaa mbali na wanawake wenye umri unaokaribia 30. Utanishukuru baadae.
Ndio matumizi hayo ya k kutumika unafikiria iliwekwa urembo, na ninaitumia vizuri kwelikweli nikiacha bila matumizi yaweza kupata uvundona wewe unaichosha sana hiyo Kei, kuanzia vijana wa 30 hadi 35 washaikatia viuno, daaaaah
Mbona Mimi umri mkubwa humu na ninajisema status yangu, so inategemea mtu na akili yake ka anasikiliza wapuuzi lazima akose furaha, Ila disminder ka Mimi I don't care kwa kweli
Kijana acha kuhemka...ukoo wanting Wala hausiani na post..Ndo Maana mi nadeal.na wewe... zumbukukuBabako na mamako na ukoo wenu mzima.
Mwana haramu wewe baba wa haramu mama haram mtoto haram square.
Ndio matumizi hayo ya k kutumika unafikiria iliwekwa urembo, na ninaitumia vizuri kwelikweli nikiacha bila matumizi yaweza kupata uvundo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]last born ni last born tuNapataga moto sana basi tu huwa nanyamaza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pole sana
Mimi sio terrorist aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]last born ni last born tu
Wanatuita terrorist of the house [emoji14]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila Mimi nikaterrorist kazuri tu[emoji14]Mimi sio terrorist aisee
Hongera[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila Mimi nikaterrorist kazuri tu[emoji14]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera
RelaxHalafu wanaoleta hizi mada mara nyingi unakuta hata hawaeleweki.
Siyo mfukoni, kazi unakuta hana,ukikaona hata hakaeleweki.
hatuzeeki, ndio Mana Kuna mabibi na mabwana hakuna mabibi na mababuWanaume wanavyo penda kujadili umri za wanawake... HIVI NYIE HAMZEEKI....
Samahani ww ni Mama naomba uwe na kauli nzuri najua ni hasira ila jaribu kuwa mvumilivu kwa wajinga km hao.Hahahahahaha....Kaka alimtaja Mama ako alokuzaa na Akili ya kushindwa kupembua mambo Nani...MTOTO HASATA WEWE BORA ANGEKUTUPA CHOONI ..ptuu
Hadi waeleweke ili iweje, kwani wamekwambia wanatafuta wachumba hapa ?Halafu wanaoleta hizi mada mara nyingi unakuta hata hawaeleweki.
Siyo mfukoni, kazi unakuta hana,ukikaona hata hakaeleweki.