Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Ukiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?
Daah! Noma sana
 
Ukitaka kugombana na mwanamke muulize ana umri gani[emoji23][emoji23]

Tena Ikatokea huyo Ke akawa >27yrs,, hakika utapiata[emoji1787]
Mbona Mimi umri mkubwa humu na ninajisema status yangu, so inategemea mtu na akili yake ka anasikiliza wapuuzi lazima akose furaha, Ila disminder ka Mimi I don't care kwa kweli
 
[emoji23][emoji23][emoji23]my bro Elly not true most of the time nikiwa huku nakuwa na mood ya kupovusha watu siku ingine hamu Sina kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Napenda kuchukua fursa hii kuwakaribisha kwangu wadada wote wenye miaka 27 na kuendelea[emoji23] [emoji23]
 
Nope sija sema watoto wakishua pekee hata wanawake wa kawaida. Issue ni umri na kwa pande zote za ukishuani na uswahilini kuna impact zake.
Sidhani kama mtoto wa kishua ucheze na feelings zake akuache salama. Vivo hivyo kwa mwanamke wa uswahilini, anaweza hata kukuendea kwa mganga
Hapo ndipo alipoteleza ila mada yake ipo vizuri na inaeleweka.
Sijui watu wanabisha nini....ila huo ndiyo ukweli aliousema.
 
Thread kama hizi ukifungua unaitupia huko jukwaa la mahusiano

halafu unatulia kimya unasoma comment,hamna kujibu comment

ya mtu hata mmoja,we ingia piga jicho sepa..Unafungua thread ngumu

kama hii hlafu unaanza kureply comment za uliowalenga,utachambwa hadi ujute.

kuna watu wamejitegesha wanasubiri uingie 18 zake,sasa wewe ushamchokonoa halafu unamsogelea..shauri lako Dollar hermees
Me sija msema mtu kaka, we are here to learn and share ideas. Me natoa ushauri na nasaha kwa vijana wenzangu. Nimekosea nini
 
Wewe unajifariji tu na uanaume suruali sikuhizi Kuna vifaa vya kuridhisha wanawake kuliko nyie wanaume nguvu za kiume hamna, Mara mpige alkasusu sijui vumbi la congo wakati ukiwa na kifaa chako una enjoy. Mtu huna mbele Wala nyuma unajiita mwanaume what a shame, daily kuzalilisha wanawake waliokuzidi like kitu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaaani wanaume mnashida..m mwanamke akisoma shida... Akiolewa anamloga mume wake... Akiachika malaya... Akichelewa kuolewa hafai amedanga sana...

Haya maisha aliewaambia yanaformula nani... Nyie yoote mlioyapanga mmeyafanikisha... Kwasababu unaweza ukapanga na yasitokeee.

Mtu kutaka kuwa na mwenza kuna shida gani?... Naona mleta uzi ni mpumpavu tu tena hana hela kuoa hajaoa... Ila basi tu kukandia wanawake.. stupid
Mwanamke yeyote mzuri anaolewa mapema. Labda kama awe na tatizo au shida fulani.
Tunajua kabisa mpaka kufika 27+ si chini ya mahusiano 5 umesha yapitia. Unategemea nini hapo.
 
Kwaiyo wewe unataka watoto wa kishua..si umeenda huko maofisini hujawaona?.. kwanza utawapa nini.. ndo nyie mnaotaka kulelelwa...WEAK MAN
Naongelea uhalisia siku hizi wanawake wengi hawaolewi. Unakuta mdada mzuri anakazi yake na kwao yuko vizuri lakini bado anasota. Mwishowe anakuja toka na dereva boda boda au mtu ambaye sio level yake. Ukicheki age yake imeenda na wazazi wanaona aibu kwa elimu walio wekeza mwanao kuolewa au kuzalishwa na mwanaume ambaye sio hadhi yake.
Kumpa mwanamke nini sio jukumu lako kujua. Nachosema ni kimoja women above 27 are desperate for marriage.
 
Wewe una matatizo ya kisaikolojia Yani umri wa wanawake ukuumize, naona umeumizwa na huyo dada Sasa kuja kupoza machungu ukaamua uanzishe Uzi ili kujipa matumaini hewa ya kupata faraja, nasema tena pole Sana kwa kuumizwa huko umri wa binadamu lazima uongezeke tu bila kujali jinsia so hoja yako haina mashiko

Doubtlessly you are 27+
 
Hahahaha...wakishua..au watoto wenye kazi...We bwege kweli...huyo dada anakazi na anahela yakr..wewe unamuona wakishua coz huna hela wala.kazi.unatembeza CV
Sawa sina hela ila nikimwambia nataka kumuoa atakubali na hela yake nakula. [emoji846][emoji846][emoji846]
 
Back
Top Bottom