Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Last born mwenzako kesho anasafiri, sasa kwavile madingi wanaishi mbali na main road wakati anatakiwa kuondoka alfajiri; basi kanipigia kwamba anakuja kulala home!!!

Nimemwambia ashibe kwao huko huko kwa sababu there's no way naweza kupinda mgongo eti nimpikie yeye dume zima lisiloweza kutengeneza hata tambi!
Whoooi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
First born una roho ngumu namna hiyo!???
Embu mpikie mtoto mziwanda jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
@Saint Anne ni Last Born basi anadeka huyo balaa... sa' nikadhani na wewe ni LB kama yeye!!
Hahaha
Yeye amebaki humu kwa sababu za comments zangu za majadiliano huko juu.

Hii la u1st born na uziwanda anaishangaa,haijui maana sisi tumetoka nayo kuleee
 
Seems like your mindset is still in the Stone Age Era. Let me break it down for you.

Wanawake siku hizi tumeelimika. Tunaenda na kasi ya maisha. Akili zetu zipo kimaendeleo zaidi. Tuna focus kwenye elimu, biashara na ajira ili kujiingizia kipato maisha yaende.

Bado tunapenda na kuheshimu ndoa, lakini Ni muhimu tuingie kwenye ndoa tukiwa na maisha yetu, na hela zetu. Hata tukiingia na kibanda chetu na kiusafiri Kuna tatizo kwani?

Kulewa na kuzaa kupo tu. Tusake maisha kwanza.
K kuna kitu nakifanyia utafiti kikikamilika nitaleta uzi. Kwa namna Fulani mleta uzi Yuko sahihi na upande mwingine hayuko sahihi.
 
Umeumizwa tu wewe sasa swala la umri ni kitu chakujadili kweli maana kiumbe kilichozaliwa kuongezeka miaka ni kawaida Sana, wanaume maisha yakiwashinda huko mnakuja huku kukashifu na hyo bado haiwaondolei stress plus depression daily kulia Lia humu kuhusu wanawake, msitufokee na mapungufu yenu tafadhali
Hakuna kitu wanawake wanachoogopa kama namba (za umri)[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Seems like your mindset is still in the Stone Age Era. Let me break it down for you.

Wanawake siku hizi tumeelimika. Tunaenda na kasi ya maisha. Akili zetu zipo kimaendeleo zaidi. Tuna focus kwenye elimu, biashara na ajira ili kujiingizia kipato maisha yaende.

Bado tunapenda na kuheshimu ndoa, lakini Ni muhimu tuingie kwenye ndoa tukiwa na maisha yetu, na hela zetu. Hata tukiingia na kibanda chetu na kiusafiri Kuna tatizo kwani?

Kulewa na kuzaa kupo tu. Tusake maisha kwanza.
Maishaa bongoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sijaumizwa na yeyote ila naona tabu wanazo pitia dada zetu pindi umri wao unapikaribia na 30.
Ukienda ukamwambia nakumega halafu nakuacha atakutukanaa

Wanakuaga na hasira wakiamini wamelogwa ila ukamwambia unamuoa atakupa kila kitu
Hahahahhh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio hasira tu, bali huwa na visirani.
 
Whoooi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
First born una roho ngumu namna hiyo!???
Embu mpikie mtoto mziwanda jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unasemaje wewe?!
 
Basi bora, manake hawa viumbe ni pasua kichwa! Tangu back in the days niwe na mmoja wao, ambae eti wakati mwingine alikuwa ananuna makusudi na bila sababu eti aone kama nitambembeleza basi hata hamu!!

Sema uzuri wa Saint Anne yeye anadai huwa ananuna huku akitimiza majukumu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umetushikia bango ma last born.
Mimi ni last born nisiyedeka[emoji1787]
 
Back
Top Bottom