Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Nenda TRA au bank za NMB au CRDB utakutana na watoto wa kishua kibao.
Mtoto wa kishua sio mpaka awe na masters. Alafu watoto wa kishua sio wote wana mind kusoma sana.
Degree yake ina mtosha.
Watoto wa kishua wengi wanadate na vijana ambao sio type yao wengine hadi dereva bodaboda.
Kwahyo akikuona una muonekana na unasomeka na ukamletea stori za ndoa.
My friend you are in for it
Hahahaha...wakishua..au watoto wenye kazi...We bwege kweli...huyo dada anakazi na anahela yakr..wewe unamuona wakishua coz huna hela wala.kazi.unatembeza CV
 
Umeelezea kama una data zote lkn (?).... anyway, si lazima Me kuoa agemates.

Hakuna umri mbaya kwa mwanaume kujihusisha na mapenzi Kama akiwa kwenye 18-30. Maana katika huo umri mwanaume bado hajajipanga kimaisha unless kuwe na exception. Lakini kwa mwanamke ni sahihi maana hategemewi kuchangia material yoyote kwenye mahusiano ya ndoa.

Mwanaume kwanzia 30 na kwendelea ndio panakucha, stress za maisha zishapungua yaani kila kitu kina boom. Me hata awe na 40 bado ni muda sahihi wa kuoa Ila Ke akifika 30 Kama hakaolewa analo.
Mwanaume anaoa akiwa na uwezo...Tu sio lazima awe na magari na manyumba...Wanaume wasiosoma wanaoa na wanakipato cha kawaida...Nyie ndo mnataka mpaka mjenge na Kununu amagari na Kuwa na biashara..

Mtafika hiyi 40mnasimamisha kwa shida tu
 
Unadhani utafanya kazi benk bila connection.
Wakishua wanajulikana sio mpaka akwambie. Fanya tafiti boss ndo ujenge hoja.
Kuanzia 27 mentality ya mwanamke huanza kubadilika wengi wao hutaka kusetle na mwenza wao.
Wewe...Ni POPoma tu...story zako za mtaani na fb unaleta hapa..mbona mimi nilipata kazi bank bila connection...Njaa zako zinakusumbua kijana.
 
Mwanaume anaoa akiwa na uwezo...Tu sio lazima awe na magari na manyumba...Wanaume wasiosoma wanaoa na wanakipato cha kawaida...Nyie ndo mnataka mpaka mjenge na Kununu amagari na Kuwa na biashara..

Mtafika hiyi 40mnasimamisha kwa shida tu
Kwenye huu uzi wanawake wengi mmekazana kusema Me above 40 wamepungukiwa nguvu, ndipo najiuliza mtakuwa mmeyajulia wapi?

Kumbe mlipokuwa kwenye kilele chenu 18-25 mlidanga na hawa above 40 na kuwapuuza rika lenu. Sasa giza linaingia mnakazana kumdandia yeyote mradi na nyie eti mpate ndoa.

Nyie si mlikuwa mnaambukiza ujinga namna ya kudanga vibabu? Mkajifunze pia namna ya kuolewa na vibabu.
 
Wadada wengi siku hizi haswa walio fika miaka 27 na kuendelea wanakuwa ni waoga sana wa kuachwa na uwoga wa maisha. Kiufupi wana kuwa desperate kiasi fulani.

Tusidanganyane ndoa kwa mwanamke ni kitu kikubwa sana. Kina mpa heshima katika jamii. Mwanamke anaye fika hadi umri wa miaka 30 bila ya kuolewa anaonekana kama alikuwa anauchezea ujana wake kwa kubadilisha wanaume. Ambao kwa namna moja au nyengine ina ukweli fulani.

Ushauri kwa vijana wenzangu tuwe makini sana kudate na hawa wanawake. Kama kweli umempenda kwa dhati basi vizuri lakini kama unapita tu bora umwambie ukweli. Wanawake wa rika hili wana kiu ya ndoa na kupata mtoto kwa hali ya juu.

Sisemi kwamba mwanamke anaye kuwa na 27+ kisa haja olewa ni mbaya hapana. Tena wengi wao wanakuwa ni watoto wa kishua, wanapesa zao na elimu zao. Swali linakuja nani ATAMFUNGA PAKA KENGELE. Maana itakuwa kama wewe ndo unaolewa sasa.

Ukidate na mwanamke wa umri wa 27+ kuwa makini haswa kama kwenu mko vizuri, hapo naongelea mwanamke kama anatokea familia ya chini au kawaida. Kama hutamzawadia mimba basi ndoa. Jipange kwa hayo mawili. Ukisema una test kama wamo au hawamo jua fika unajitafutia matatizo.

Kama hauko tayari kuingia kwenye ndoa au kupata mtoto kaa mbali na wanawake wenye umri unaokaribia 30. Utanishukuru baadae.

Okay embu Endelea kidogo
 
Yes but don't pressurize women into marriage making them feel like 27 years old is too old.

That's a big fat lie.

Binti yako utakatiza ndoto zake ili aolewe sababu unadhani 27 years Ni too old.

Acha hizo wewe. Ask yourself if this advice is the same that you would apply to your son or if you would push your daughter into marriage because of your narrow thinking.
Comment ya BUSARA Sana hii
 
Maisha lazima tushindane nayo. Enzi za mwanamke kukaa ndani kusubiri kupewa zilishaisha.

Enzi za mwanamke kuteseka baada ya mume kufariki kisa alikuwa Kakaa ndani analetewa tu ziliisha.

Sasa hv tunapambana. Unaweka mboga naweka ugali. Hao under 27 labda ndio desperate sababu hawajajijenga na wanaona maisha bila mwanamme hayaendi.

Over 27 is legit. Focused, ambitious and woke women.

Nakufahamu vzr sana wewe...ivi ubishi ujaacha tuu???
 
Sasa kama huoni faida ya kuoaa..unataka kuiona kabla kuoa...Unachekesha..ndo shida ya majobless
Kwanini nioe ilihali nipo satisfied na maisha ninayoishi?

Nipo huru kufanya chochote nachopenda, na yeyote nitakaye, kwenda popote napopenda bila kuulizwa na yeyote.

Uhuru wangu nauthamini Sana, ndo maana sitaki pingu uchwara za kinachoitwa ndoa
 
Kwanini nioe ilihali nipo satisfied na maisha ninayoishi?

Nipo huru kufanya chochote nachopenda, na yeyote nitakaye, kwenda popote napopenda bila kuulizwa na yeyote.

Uhuru wangu nauthamini Sana, ndo maana sitaki pingu uchwara za kinachoitwa ndoa
Sijui Ndugu yangu unaamini...Dini gani

Ila ikifika mahala dhambi unaisherekea na kujisia yaaani dhambi imependeza machoni mwako. Unakoelekea NI MAJUTU

KILA la kheri katika kutafuta PESA..Maana hiyo ndo huna..inawezekana unautajiri wa Akili za Chuo kikuu...na Zinaaa..

Vijana Zinaaa Ni uchafu Hebu zindukeni.. haya mnayoyaendekza mwisho wake Mbaya
 
Back
Top Bottom