[emoji23][emoji23]Cariha wachana nao hawa, umri nini bwana. Kila mtu aishi atakavyo, si ndio? Mimi nimesema 28+ ndio ugonjwa wangu, bahati mbaya hujafika huko, ningeshawahi piemuni mwako nitete na wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]my bro Elly not true most of the time nikiwa huku nakuwa na mood ya kupovusha watu siku ingine hamu Sina kabisa.
Wajaribu kwanza kueleweka maana hali zao tu zimewashinda kupambana nazo.Hadi waeleweke ili iweje, kwani wamekwambia wanatafuta wachumba hapa ?
Hapa ni mwendo wa spana elimu spana elimu spana elimu hadi kieleweke
Tafuta hela ueleweke[emoji1787]Relax
Maskini loh!Wajaribu kwanza kueleweka maana hali zao tu zimewashinda kupambana nazo.
Kwanza watawapatia wapi hao wachumba wa 27..ulisikia wapi wadada wanataka watu wajinga namna hiyo?
Sio kuchamba tu , wanajua hata kudanga , kama uamini andaa kibunda chako halafu mcheki CarihaMaskini loh!
Kumbe hadi wadada wa JF wanajua kuchamba
sawa msemaji wa wanawakeSijaumizwa na yeyote ila naona tabu wanazo pitia dada zetu pindi umri wao unapikaribia na 30.
Kwa hela gani mlizonazo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio kuchamba tu , wanajua hata kudanga , kama uamini andaa kibunda chako halafu mcheki Cariha
Sijui tumpe udada mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa msemaji wa wanawake
Nitoe kwenye hilo kundi mdogo wangu, yaani 35 tu chali, kweli?[emoji39][emoji39][emoji23]Usijifariji mkifika 35 nguvu za kiume zinaisha vijana tu wa 30 majogoo yao hayapandi mitungi sembuse huo umri mnatumia viagra
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maskini loh!
Kumbe hadi wadada wa JF wanajua kuchamba
ππππ hicho cheo kinamfaa kabisaSijui tumpe udada mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23]ndo vizuri usiwaite kwasababu chambalaization is not good for health[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu Uzi hauna wachambaji kabisa mbona.
Wangekuja hapa pasingetosha[emoji1787]
Na wewe taratibu unakuwa mchokozi, umekuwaje siku hizi? "Defending by attacking"!Sijui tumpe udada mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kei yako unatoa kwa shilingi ngapi ?Kwa hela gani mlizonazo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye hela hawapo kwenye huu Uzi[emoji1787]
DuhWewe kei yako unatoa kwa shilingi ngapi ?
Mimi kaka nachangamsha tu mdomo kupeleka siku mbele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe taratibu unakuwa mchokozi, umekuwaje siku hizi? "Defending by attacking"!
The more you get older the wider the choices.Hapo mnapo jaribu kushindana na maisha basi umri unakutupa mkono.
The more you get older choices zina pungua ndio maana ukisikia suala la ndoa una kuwa attention
Nitaitoa kwa mahariWewe kei yako unatoa kwa shilingi ngapi ?