Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Mbona unakimbilia kwa moderator ukiona vita inakuzidi nguvu?!

Are u chickening out......?!

Butter fingers
I'm not I'm here to stay sorry ur expectation wasn't met actually so don't stress to that extent do you think vile hoja nitakimbilia ku post Mambo personal yako I will never do that I'm matured woman, so let keep arguing
 
Correction. Kuna big difference between a strong woman and a confused or narcissist female.

Sasa sijajua wewe umepitia which school of thought hadi hapo.

Sisi wanaume tupo very irritated na mwanamke mjeuri sio mwanamke strong so usichanganye hayo mambo mawili. In fact tunavutiwa na wanawake strong. Definition ya strong inategemea na context unazungumzia....
Mfano unaweza sema ceiling board ya ujerumani ni imara kuliko ya china but ukichukua ceiling board ukawaka na chuma ni two different things kucompare maana chuma ni element tofauti na cardboard materials.

Sasa unaposema kuwa mwanamke kuwa strong ni kuwa mjeuri, kubishana na wanaume, kutaka kushindana, kuleta ngebe, kutafuta shari then utie strong hiyo kwetu wanaume ni big no sababu sio values za mwanamke strong, mwanamke strong ni yule anaesikilizana na mwanaume wake, anamshauri, anamfariji, ana play part ya mama kwa watoto na hata kwa mumewe, anajitoa kwaajiri ya mume na watoto wake, anajua nafasi yake kama mwanamke na anajua tofauti yake na mwanaume, hizi ni sifa chache tu.....


Tukirudi kwa huyo kiumbe anaefanania na mwanamke kimaumbile, huyu ana shida in most areas hayupo qualified kuwa mwanamke in a social context ni chombo tu cha starehe then basi.

Kama naongea uongo hapa utakuja nambia huyu maisha yake atapoishia..... Lonely, miserable, depressed wit issues
 

Kwani nimeongea mengi??? next time mwanamke anakuwa bashed najua utakuwepo!!! sad, very sad individual.....
 
Mark this ID, next time mwanamke akianza attacked na watoto wa humu,itakuwepo!!!!, talking about toxic person?!?
Ndio hzo huanza na single mother wakitoka hapo lawama kwa wanawake then wanahamia kwingine with different I'd
 
Sure wengine kujitaftia sifa tu humu wanafikiria Kuna jipya gani sijui lililo Baki, kwa kweli msimamo wangu uko pale kuandika ninachoamini.
Sisi hatuna shida na misimamo yako na ndio maana hapa pakaitwa JF sehemu ya kukinzana hoja na kushare ufahamu..... But wewe ukweli ni kuwa unamatatizo..... Sasa sisi tunapambana na matatizo yako.

Kwani unadhani wanawake wote hapa sisi huwa wanakubali hoja zetu, but kunatifauti ya namna wanajibu hoja zao.....

Mimi nina wasiwasi hata ulipo unapata shida kublend in na jinsia ya kiume.... Mwanaume anaeendana na wewe atakuwa hajakamilika....

Mimi ukae eneo moja na mimi aaaah nikikuvumilia ni dakika 5, ya sita utachezea kofi la fasta.....
 
Nawashangaa wanaohangaika kudanganya ili kumpata dem. Mi sidanganyi na bado naopoa pisi za maana sana.
Ngoja niweke picha zao hapa.
 
Bandiko refa with no content kabisa loh, ngoja nilale kesho tutaendeleza mjadala
 
Na kama wewe utakuwa-27 haki nahama jamiiforums
 
Pia kaa mbali na mwanamke ambae aliolewa kisha akaachana na mmewe, tena awe kwenye 30-45.

Usicheze kabisa na hisia zake, akikupenda amekupenda kweli.

Ndoa ni kitu kingine kabisa kwa hii jinsia aiseee.
Wanakuwaga na hasira hao sababu wanahisi kutendwa kama mwanzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…