Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
YahLike how we roll right now
Ndo mtakaowaoa haohao mkuu maana Hata nyie si ni screpaHamna hatuwa oi tunawapiga pumbu tu. Halafu tunawaacha
We bado mdogo [emoji1]Sasa utajuaje labda huyo the right one ndo Mimi[emoji4]
Heh!kumbe na wewe unachagua umri love doesn't ask why hayachagui umri what matters is feelings na mimi huwa naziamini feelings zanguWe bado mdogo [emoji1]
Namanisha bado mdogo kuelewa nachomanishaHeh!kumbe na wewe unachagua umri love doesn't ask why hayachagui umri what matters is feelings na mimi huwa naziamini feelings zangu
Si ndo unieleweshe Ila Kama nimekupenda usikatae kwasababu Unaweza kumkataa anayekupenda na ukampenda anayekukataaNamanisha bado mdogo kuelewa nachomanisha
Nitakuelewesha [emoji2]Si ndo unieleweshe Ila Kama nimekupenda usikatae kwasababu Unaweza kumkataa anayekupenda na ukampenda anayekukataa
Okay nasubiri kwa hamuNitakuelewesha [emoji2]
Hahahaa hujaachaga tuNikubalie basi babe?
40+Ila wanawake kuanzia 30+ wana taste fulani nzuri sana kwenye mapenzi, i real fall for their type.
Are old you my dear ?
Duh!taste increases as one grows up then he would find himself dating an aged woman[emoji23]
Mungu ameshindwa kuwaridhisha sisi wanaume tutaweza kweli?na sio kwamba hatuna uwezo wa kuwaridhisha ila wanaune tunajirishisha kwanza kisha tunaachia matango yawakojoleshe hakuna kuhangaika kumridhisha mwanamke halafu uanze kumhonga tena.Wewe unajifariji tu na uanaume suruali sikuhizi Kuna vifaa vya kuridhisha wanawake kuliko nyie wanaume nguvu za kiume hamna, Mara mpige alkasusu sijui vumbi la congo wakati ukiwa na kifaa chako una enjoy. Mtu huna mbele Wala nyuma unajiita mwanaume what a shame, daily kuzalilisha wanawake waliokuzidi like kitu
Kati ya wakongwe wote wanawake nahisi umebaki wewe.Seems like your mindset is still in the Stone Age Era. Let me break it down for you.
Wanawake siku hizi tumeelimika. Tunaenda na kasi ya maisha. Akili zetu zipo kimaendeleo zaidi. Tuna focus kwenye elimu, biashara na ajira ili kujiingizia kipato maisha yaende.
Bado tunapenda na kuheshimu ndoa, lakini Ni muhimu tuingie kwenye ndoa tukiwa na maisha yetu, na hela zetu. Hata tukiingia na kibanda chetu na kiusafiri Kuna tatizo kwani?
Kulewa na kuzaa kupo tu. Tusake maisha kwanza.
Bora umesema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuh wenye 22...25 tunaitwa watoto mara wasumbufu..sasa 27+mnawalalamikia eti wanataka mbegu zetu wazae au ndoa...duuuh....
Na wanaume hamjui mnataka nn.
Shukran Kakake. Pamoja Sana. Secret is to being authentic. Be you.Kati ya wakongwe wote wanawake nahisi umebaki wewe.
Huwa unaandika reality and you are real you.
Wengi huwa wanaigiza ndio maana walishabadili hata ID zao.
Nakukubali na huwa napenda kusoma ulichoandika.!
FactWadada wengi siku hizi haswa walio fika miaka 27 na kuendelea wanakuwa ni waoga sana wa kuachwa na uwoga wa maisha. Kiufupi wana kuwa desperate kiasi fulani.
Tusidanganyane ndoa kwa mwanamke ni kitu kikubwa sana. Kina mpa heshima katika jamii. Mwanamke anaye fika hadi umri wa miaka 30 bila ya kuolewa anaonekana kama alikuwa anauchezea ujana wake kwa kubadilisha wanaume. Ambao kwa namna moja au nyengine ina ukweli fulani.
Ushauri kwa vijana wenzangu tuwe makini sana kudate na hawa wanawake. Kama kweli umempenda kwa dhati basi vizuri lakini kama unapita tu bora umwambie ukweli. Wanawake wa rika hili wana kiu ya ndoa na kupata mtoto kwa hali ya juu.
Sisemi kwamba mwanamke anaye kuwa na 27+ kisa haja olewa ni mbaya hapana. Tena wengi wao wanakuwa ni watoto wa kishua, wanapesa zao na elimu zao. Swali linakuja nani ATAMFUNGA PAKA KENGELE. Maana itakuwa kama wewe ndo unaolewa sasa.
Ukidate na mwanamke wa umri wa 27+ kuwa makini haswa kama kwenu mko vizuri, hapo naongelea mwanamke kama anatokea familia ya chini au kawaida. Kama hutamzawadia mimba basi ndoa. Jipange kwa hayo mawili. Ukisema una test kama wamo au hawamo jua fika unajitafutia matatizo.
Kama hauko tayari kuingia kwenye ndoa au kupata mtoto kaa mbali na wanawake wenye umri unaokaribia 30. Utanishukuru baadae.
Kama kawaSam unapiga spana nzito nzito hadi nawaonea huruma hao madada
Tulia wewe.... Ushaambiwa nimepiga spana nzito, wewe shida yako ipo wapi?!Spana gani nzito amepiga hapo?