Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wewe unajifariji tu na uanaume suruali sikuhizi Kuna vifaa vya kuridhisha wanawake kuliko nyie wanaume nguvu za kiume hamna, Mara mpige alkasusu sijui vumbi la congo wakati ukiwa na kifaa chako una enjoy. Mtu huna mbele Wala nyuma unajiita mwanaume what a shame, daily kuzalilisha wanawake waliokuzidi like kitu
Mungu ameshindwa kuwaridhisha sisi wanaume tutaweza kweli?na sio kwamba hatuna uwezo wa kuwaridhisha ila wanaune tunajirishisha kwanza kisha tunaachia matango yawakojoleshe hakuna kuhangaika kumridhisha mwanamke halafu uanze kumhonga tena.
 
Seems like your mindset is still in the Stone Age Era. Let me break it down for you.

Wanawake siku hizi tumeelimika. Tunaenda na kasi ya maisha. Akili zetu zipo kimaendeleo zaidi. Tuna focus kwenye elimu, biashara na ajira ili kujiingizia kipato maisha yaende.

Bado tunapenda na kuheshimu ndoa, lakini Ni muhimu tuingie kwenye ndoa tukiwa na maisha yetu, na hela zetu. Hata tukiingia na kibanda chetu na kiusafiri Kuna tatizo kwani?

Kulewa na kuzaa kupo tu. Tusake maisha kwanza.
Kati ya wakongwe wote wanawake nahisi umebaki wewe.
Huwa unaandika reality and you are real you.
Wengi huwa wanaigiza ndio maana walishabadili hata ID zao.
Nakukubali na huwa napenda kusoma ulichoandika.!
 
Hakuna anayechukia umri mkubwa bila sababu za msingi.
1. Fikiria uzazi wa mpango unavyoelekeza. Ukianza familia na mwanamke wa 30+ na ukatoa nafasi inavyotakiwa huwezi pata watoto zaidi ya 3 kabla kisima hakijakauka.
2. Kitibabu ( na ushahidi upo), mwanamke anavyochelewa KUANZA kuzaa ana uwekano mkubwa wa kupata matatizo ya uzazi ikianza na uvimbe kwenye mfuko wa uzazi nk. Hata kliniki wanawake wa umri huo hawatakiwi kujifungulia kwenye zshanati na vituo vya afya... wanahesabika... hatariii...
3. Wanachakaa haraka. Mwangalie mwanamke alianza na kumaliza uzazi mapema na aliyechelewa kuanza. Ni watu wawili tofauti kabisa. Moja kijana na shepu ipo na mwingine kachakaa dura na mwili.
4. Hili ni kwa wanaume. Hebu jiulize. Kama unataka ukiwa na mwanao wa mwisho awe na say miaka 20 wakati ukifikisha miaka 55 unakiwa umzae ukiwa na miaka mingapi? Itakuwa 35. Kama unatakiwa umzae last born wako na miaka 35 swali ni je? Unatakiwa uoe na kuanza familia ukiwa na miaka mingapi? Na say uwe na wstoto 4? Walioachana ( say ) miaka 3? Utaona mwanamke wa 30+ hana nafasi kwenye maisha ya kijana serias aliyejipanga. Maana utaoa dadako mkubwa [emoji2][emoji2]
5. Hakuna sababu ya msingi maana wawake wanamaliza vyuo na umri mdogo... why wait up 30+...Naunga mkono hoja... haina sababu kabisaaa.
 
Wadada wengi siku hizi haswa walio fika miaka 27 na kuendelea wanakuwa ni waoga sana wa kuachwa na uwoga wa maisha. Kiufupi wana kuwa desperate kiasi fulani.

Tusidanganyane ndoa kwa mwanamke ni kitu kikubwa sana. Kina mpa heshima katika jamii. Mwanamke anaye fika hadi umri wa miaka 30 bila ya kuolewa anaonekana kama alikuwa anauchezea ujana wake kwa kubadilisha wanaume. Ambao kwa namna moja au nyengine ina ukweli fulani.

Ushauri kwa vijana wenzangu tuwe makini sana kudate na hawa wanawake. Kama kweli umempenda kwa dhati basi vizuri lakini kama unapita tu bora umwambie ukweli. Wanawake wa rika hili wana kiu ya ndoa na kupata mtoto kwa hali ya juu.

Sisemi kwamba mwanamke anaye kuwa na 27+ kisa haja olewa ni mbaya hapana. Tena wengi wao wanakuwa ni watoto wa kishua, wanapesa zao na elimu zao. Swali linakuja nani ATAMFUNGA PAKA KENGELE. Maana itakuwa kama wewe ndo unaolewa sasa.

Ukidate na mwanamke wa umri wa 27+ kuwa makini haswa kama kwenu mko vizuri, hapo naongelea mwanamke kama anatokea familia ya chini au kawaida. Kama hutamzawadia mimba basi ndoa. Jipange kwa hayo mawili. Ukisema una test kama wamo au hawamo jua fika unajitafutia matatizo.

Kama hauko tayari kuingia kwenye ndoa au kupata mtoto kaa mbali na wanawake wenye umri unaokaribia 30. Utanishukuru baadae.
Fact
 
Back
Top Bottom