Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Oh really?

Hapana aisee. Some men are very controlling. Wanaona ukishika hela utasepa. Bora anikute na maisha yangu yeye aji adjust anavyojua.
At least hii ni modal nzuri kuifuata.

Alimradi heshima iendelee kuwepo kati yenu na uwezo wa mwanamke kifedha usiwe chanzo cha kutoheshimiana.
 
A woman putting marriage on the side mpaka afanikishe ndoto zake ndio aolewe na tuna assume ndoto zenyewe atazifanikisha on her 30s bila ya kufikiria worst case scenario ambapo those dreams takes forever to come into fruition or are never accomplished it's a very very risky move with very high chances for her to be on the losing side.

Kumbuka, linapokuja suala la ndoa, men are the gatekeepers to marriage. Ni vizuri wanawake wenye above 30s waliofanikisha ndoto zao na wanapata tabu kuolewa wakajaribu kujua wanaume wanaangalia nini wanapochagua wenza ili baadae wasiishie kulaumu kwamba men are intimidated by women success or strong women, hey inawezekana tatizo halipo kwa wanaume ila kwako wewe and that's why they're not picking you.

Sijui kwa nini wanawake wengi wanaamini kwamba wakiwa na mali au high paying jobs itakuwa rahisi kwao kupata their dream husbands who will never do them any wrong only to be disappointed later on in life after achieving their career or financial success but failing to keep a man or worse being forced to date down. Kwa kifupi ladies a man who got his life going on doesn't care about your money, ila kwa marioo au mwanaume anayetafuta mwanamke Wa kusaidiana naye maisha, you having money will be on top of his list if not a deal breaker.

Dhumuni la kuingia kwenye ndoa ni kuzaliana na kuijaza dunia, tafiti tayari zipo zinaonyesha wanawake wakifika 30s chances za kupata mimba on first trial zinapungua na umri unavyozidi kwenda juu ndio chances za mimba zinavyozidi kupungua na chances za kuzaa watoto wenye disabilities zinaongezeka compared to girls on their 20s who have high pregnancy chances on first trial, knowing all thes e biological risks, kwa nini nihangaike na wanawake waliozaliwa 80s huko badala ya wadogo zao wenye natural beauty anizalie watoto wangu 7, tusafiri dunia and enjoy this gift called life.

Mind you am all in when it comes to people(both men and women) pursuing their dreams and becoming the best versions of themselves.
Sipunguzi kitu!! You have nailed it!!🙌🏾🙌
itabidi tukuteue uwe msemaji watu kiujumla (wanaume) 😀 natania tu lakini.
 
Sasa kwa dunia huu kutaka mwenzi wa kwako tu impossible na hyo wanaume kuwa polygamous huwa ni kujihalalishia tu in short we women's like different taste of people since watu hutofautiana, mie mwenyewe siwezi mind mtu wangu kisa cheating coz na mie napenda vya tofauti, that's why napenda mahusiano ya kupeana nafasi na sio yakutaka kumilikiana
Fair enough na Safi unafaa sana!!. NO STRINGS ATTACHED!! FRIENDS WITH BENEFITS kinda relationship, its OK ni sawa kama hiyo ndo your style. We all have our own preferences.
Wanaume wengi pia tunapenda kuwa na Side Chicks wa kuruka nao tu with no expectations, wala commitment!! As far as sex is concerned! Coz men love sex. MONEY, POWER & SEX ndo vitu vyetu vitatu wanaume tuvifukuzia sana!! 🤠
Ubaya ni kwamba Wadada wengi ukiwa honest na ukawaambia as frank as possible kwamba "Bibie let's start this partnership for sex only, no commitment." Oohooooo humpati anakukimbiaaa, hivyo inabidi umpige uongoooo. Wadada maneno matamu tamu ndo wanapenda umjazeeee uongoooo na Sifa kemkem zisizo na idadi every now and then na Vizawadi Zawadi vya hapa na Pale!!
 
Fair enough na Safi unafaa sana!!. NO STRINGS ATTACHED!! FRIENDS WITH BENEFITS kinda relationship, its OK ni sawa kama hiyo ndo your style. We all have our preferences.
Wanaume wengi pia tunapenda kuwa na Side Chicks wa kuruka nao tu with no expectations, wala commitment!! As far as sex is concerned! Coz men love sex. MONEY, POWER & SEX ndo vitu vyetu vitatu wanaume tuvifukuzia sana!! [emoji1783]
Ubaya ni kwamba Wadada wengi ukiwa honest na ukawaambia as frank as possible kwamba "Bibie let's start this partnership for sex only, no commitment." Oohooooo humpati anakukimbiaaa, hivyo inabidi umpige uongoooo. Wadada maneno matamu tamu ndo wanapenda umjazeeee uongoooo na Sifa kemkem zisizo na idadi every now and then na Vizawadi zawadi vya hapa na Pale!!
Hao wanaoambiwa ukweli na kukimbia hawajielewi sio kila mahusiano yanasababisha matokeo flani, mengine ni just starehe tu basi
 
Hao wanaoambiwa ukweli na kukimbia hawajielewi sio kila mahusiano yanasababisha matokeo flani, mengine ni just starehe tu basi
😍🤗 Nawapendaga wadada kama wewe! During the infancy of the relationship, we make it crystal clear to each other kwamba this is it, No expectations, no commitment. Just sex.
 
[emoji7][emoji847] Nawapendaga wadada kama wewe! During the infancy of the relationship, we make it crystal clear to each other kwamba this is it, No expectations, no commitment. Just sex.
Na aina hii ya mahusiano hunoga maana no expectations just for fun, coz expectations always hurt
 
Tunaoa ni sisi wanaume shida ni moja kwa wanaume kuoa watoto wa kishua. Kwanza wanakuwa wamekuzidi kipato, kazi nzuri. Na hata hivo mda wa wewe kuonana nao uko wapi mara nyingi wanakuwa wapo kazini ili umpate lazima na wewe uwe kwenye circle yake ya kazi au nyumbani.
Naongelea mtoto wa geti kali akirudi ndani, akitoka kazini. Weekend anaenda party au outing na wenzake. Utampata wapi?
Yaani unajitangaza hivi hivi kuwa wewe Ni broke...
 
Sasa kitu normal kimezoleka na hakiumizi hisia tena
Bana kulalamika tunalalamika wote (wanaume kwa wanawake).
Kwenye relationship wote pia tunapenda ile sense of ownership, to feel this person is mine, not for sharing! Hasa pale unapokuwa katika relationship ambayo unaexpect iwe ni life time.
Na ikitokea ikazingua basi wote huwa tunalalamika na inaumiza Hisia (wanaume kwa wanawake). its normal!!
 
[emoji3][emoji3] kuumizwa ni kawaida. There is No free travel in this voyage.
MEN LIE, WOMEN LIE .... ila wanaume wengi sie huwa hatupendi kuibiwa kabisa ila sie tunapenda kuiba.
Siujua tena obviously Mwizi hapendi kuibiwa that's why wanaume utakuta tunalalamika [emoji3][emoji3] Unajua kwa nini tunapenda kuiba (ku-cheat) na hatupendi kuibiwa???? Simply because, By default men are polygamous.. [emoji3][emoji3] i know it sounds so silly but that is how men are. Monogamist alikuwa Adam kwa Eve wake.
Wanaume tunataka kuwa na wanawake hata KUMI katika relationship na hatutaki hata Mwanamke mmoja aondoke. Akiondoka hata mmoja tu kati ya hao KUMI bado tutalalamika vile vile.
Hahahaaaa yan hapo tu ndo mnaponiachaga hoi!... wanaume hii sekta mnakuwaga na selfishness at it's highest level[emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaaa yan hapo tu ndo mnaponiachaga hoi!... wanaume hii sekta mnakuwaga na selfishness at it's highest level[emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
U-selfishness ni muhimu sana..
😀😀😀🤣🤣 it's a man's nature, hiyo ipo kwenye DNA zetu. Hatutakagi kabisa kuibiwa, ila sie tunaiba... Na kama tukiibiwa halafu tukajua basi inakuwa ni vita vita kweli!
 
Back
Top Bottom