Wanaume tuwe wasafi jamani!

hapana, ukifika home kabla ya kulala brush basi. Kila siku mnalalamika wake zenu hawawapi cha alfajiri; sasa utamkiss vipi kwa domo lililochacha na mibeer na mikachumbari!

wanawake wako sensitive sana na harufu!


unaona ,mbali sana wewe.....................
 

hizi siyo sifa za mwanaume, usipotoshe watu wewe, kama we ndo ulivyo then don't generalize coz wengine tupo smart 24/7.
Usirudie kuandika uharo hapa!
 

Ha! Ha! Ha! Ha!!...lol..
 
Lakini toothpick siyo dental floss!!!
NN huku nylon filaments au zile plastic ribbon zinazotumika kutoa masalia ya chakula na dental plaque kwenye meno sidhani kwanza kama watu wanazitumia au wanazijua kama wapo ni wachache, watu wamezoea toothpick kwa kwenda mbele lol!!
 
ni vizuri kukumbushana wajameni.
 
NN huku nylon filaments au zile plastic ribbon zinazotumika kutoa masalia ya chakula na dental plaque kwenye meno sidhani kwanza kama watu wanazitumia au wanazijua kama wapo ni wachache, watu wamezoea toothpick kwa kwenda mbele lol!!

Wanatumia vijiti vya chelewa kaka!
 

Hili ni tatizo kubwa sana..si kwa wanaume tu hata kwa wanawake..
Wengi wa wenye tatizo hili hawajui namna ya kusafisha kinywa; wengi uwa wanakazana kusafisha meno tu huku wakiupa usafi wa ulimi muda mfupi. Ulimi ndio chanzo cha mdomo kunuka au kutonuka.
Ewe dada na kaka safisha ulimi wako angalau kwa dakika 5 asubuhi na jioni ili kuondoa harufu mbaya kinywani.
 
nimewahi kuambiwa na dokta mmoja kuwa naturally, kati ya watu 1000; ni watu wawili tu wasionuka mdomo.


 
Waambie hao, ila kuna wanaume ni wasafi hadi raha.
 
mkuu uko juu sana. Hebu weka hii namba 10. kupendelea kuvaa chupi zaidi ya maramoja, hata siku 3.
 
Huu utata wa maharufu na mauoza mengine ni wanaume tu au na wanawake??nionavyo mimi wanawake pia pamoja na hayo yaliyotajwa, ongeza na yale mambo yetu yale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…