inawezekana,maana tamaa za kimwili zinatupeleka pabaya sana wengi wetu,tukishamaliza haja zetu unaacha unatafuta mwingineMmelogwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawezekana,maana tamaa za kimwili zinatupeleka pabaya sana wengi wetu,tukishamaliza haja zetu unaacha unatafuta mwingineMmelogwa!
Ukiwa unatafuta mpenzi mara niyingi utumia mda mwingi gharama kumtafuta huyo unayempenda lakini inakuwaje ukisha mpata unatoka nje wakati ulitumia gharama nyingi?umemwacha ndani na unaenda nyumba ndogo huko ndo baraa ukitajiwa hakuna kuuliza hata bei!na gharama zinakuwa mara dufu!je sisi wanaume tunakasoro kwewnye ubongo??au wandani unakuwa humpendi??nakama humpendi kwa nini unakuwa nawivu naye??Na je nje ukipigwa kibuti kwanini machungu yote uyarudishe ndani uliyemwacha masaa dahali??:doh: