Wanaume Uganda wawatamani warembo wa Afghanistan

Wanaume Uganda wawatamani warembo wa Afghanistan

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
images (2) (4).jpeg

Waziri wa Jinsia, nchini Uganda Betty Amongi, amesema wanaume nchini humo wamekuwa wakiombea wakimbizi kutoka nchini Afghanistan wawasili salama na kwamba wamekuwa wakisambaza picha za wanawake hao warembo na kusema anatumaini hawatotoka chama cha wanaume bahili.

Waziri Amongi ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter hapo jana, na kusema kwamba wanaume hao pia wameahidi ushirikiano mzuri kwa serikali juu ya ujio wa wakimbizi wa Afghan.

"I have seen our Ugandan men praying for safe landing of Afghanistan refugees, and sharing various photos of ladies as below, they are promising total support and cooperation with government this time on this project! hope it's not Stingy men Association," ameandika Waziri Amongi
 
Wakijaa Uganda wahamie Bongo ndio watatujua vizuri tulivyo wakarimu.
 
Kiukweli wangekuwa bongo ningeowa mmoja
 
Nyie mnawaona kwa mbali tu wale?? hee!! mnadhani wako km sisi!!! hamjui tu! kaa nao hawa watu weupe hata week tu!!! unatamani kumgawa bure!! semaukweli njemba gani zimekaa na rangi nyeupe mpaka kuzeeka zaidi ya prof;sarungi?

wazoefu wa huko majuu! wanarudiga kuoa, huku huku!!! wamatumbi wenzao! halafu wanarudi nao huko !! km James Dandu alivofanya!! yaani siyo watamu km wabantu!! wanasikilizia sana naniliu.... mpaka ipande inafika hata mwezi!! nani ataweza?
 
Nyie mnawaona kwa mbali tu wale?? hee!! mnadhani wako km sisi!!! hamjui tu! kaa nao hawa watu weupe hata week tu!!! unatamani kumgawa bure!! semaukweli njemba gani zimekaa na rangi nyeupe mpaka kuzeeka zaidi ya prof;sarungi?

wazoefu wa huko majuu! wanarudiga kuoa, huku huku!!! wamatumbi wenzao! halafu wanarudi nao huko !! km James Dandu alivofanya!! yaani siyo watamu km wabantu!! wanasikilizia sana naniliu.... mpaka ipande inafika hata mwezi!! nani ataweza?
Mwanae sarungi anatukerembesha mitandaoni
 
Mwanae sarungi anatukerembesha mitandaoni
ukiona ivo hawezi kukolea utamu!! utamu bana unachanganya sana mademu zetu! wanachanganyikiwaga kabisa si unaona wanavo wewesekaga!! lkn mzungu anaweza kukuweka hapo nyapu ujipigie huku anasoma gazeti!
 
Wazungu hawa !
Yaani yaleyale ya enzi za utumwa kuwachukua waafrika na kuwapeleka mpaka visiwa vya mbali na kuwanza kuwalimisha na kupoteza asili yao na utamaduni wao

Yaani na sisi tunacheza ngoma yao
Kwanini wawaondoe na kuwaleta kote huku why
Mbona jamii zao wako karibu na kwao?

Watu weusi waliopo sehemu walikouzwa babu zao hawajui walitoka wapi baada ya miaka kibao

Na hawa pia baada ya miaka 100 watakuwa wazawa wasiojua walitoka wapi
 
Back
Top Bottom