laii
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 843
- 1,094
Kuna umri ukifika, mwanaume uliyezaliwa rijali na kupitia mapito mengi hapa duniani ikiwemo maisha ya uchumba, club, pombe, unapowaombea watoto, omba naombea watoto wangu popote walipo, usiombee tuu hao wa nyumbani kwako.
Kuna wanawake wana siri nzito sana, unaweza ukampa mimba akapotea usimwone ilimradi akuze mimba yako bila kukusumbua, na wewe kumletea habari zako za kipepo za kutoa mimba na pindi mnakutana kijana he is 10years akuambii n'goo zaidi ya salamu.
Pia kuna wale waliokaa kwenye mahusiano kwa mda mrefu bila mtoto, anatafuta mtu kutoka mbali na anapoishi anakupa cha mtoto, halafu anawahi chaap kwa mwenza wake na yeye anampa, mara mimba paap, mwamba anafurahia uzao kumbe mimba ni ya mtu mwingine.
Ogopa sana seasonal sex, ya every after two to three years, muda mwingi no mawasiliano ya simu, akikuhitaji yeye ni kukupigia simu unaendeleaje, nikija mbeya nitakucheki au nikija Dom nakucheki.
Hawa wanakua na full vipimo😅 akija lazima mkafanye checkup ndio mkutane, na ni wajanja mnooo, hawakubali mkutane usiku, akifika mkoa husika may be ni Arusha atachukua chumba, then akutafute asubuhi, anakwepa vishawishi vya usiku.
Dunia ina mamboo toka kitambooo-Dogo Dito.
Kuna wanawake wana siri nzito sana, unaweza ukampa mimba akapotea usimwone ilimradi akuze mimba yako bila kukusumbua, na wewe kumletea habari zako za kipepo za kutoa mimba na pindi mnakutana kijana he is 10years akuambii n'goo zaidi ya salamu.
Pia kuna wale waliokaa kwenye mahusiano kwa mda mrefu bila mtoto, anatafuta mtu kutoka mbali na anapoishi anakupa cha mtoto, halafu anawahi chaap kwa mwenza wake na yeye anampa, mara mimba paap, mwamba anafurahia uzao kumbe mimba ni ya mtu mwingine.
Ogopa sana seasonal sex, ya every after two to three years, muda mwingi no mawasiliano ya simu, akikuhitaji yeye ni kukupigia simu unaendeleaje, nikija mbeya nitakucheki au nikija Dom nakucheki.
Hawa wanakua na full vipimo😅 akija lazima mkafanye checkup ndio mkutane, na ni wajanja mnooo, hawakubali mkutane usiku, akifika mkoa husika may be ni Arusha atachukua chumba, then akutafute asubuhi, anakwepa vishawishi vya usiku.
Dunia ina mamboo toka kitambooo-Dogo Dito.