uttoh2002 JF-Expert Member Joined Feb 3, 2012 Posts 17,060 Reaction score 32,400 Sep 22, 2024 #21 Siwezi na sitaweza Kuwa na mtoto Un calculated, halitawezekana, kupanga ni kuchagua, nakuelewa, but kwangu Hilo Halipo! Sifanyi na sitakaa kufanya MAPENZI Kama mbuzi au sungura, nafanya MAPENZI Kama binadamu na ninakuwa calculated haswa no chance!
Siwezi na sitaweza Kuwa na mtoto Un calculated, halitawezekana, kupanga ni kuchagua, nakuelewa, but kwangu Hilo Halipo! Sifanyi na sitakaa kufanya MAPENZI Kama mbuzi au sungura, nafanya MAPENZI Kama binadamu na ninakuwa calculated haswa no chance!