Usilete masihara, ukumbuke hadi size yake ya kiatu Kama sio kiuno.Yaani wakati unaninunia najisemea huyu mwanamke kweli ananinunia jambo dogo hivi Mungu amsamehee tu.
miezi michache imepita nilinuniwa kisa nimesahau tarehe ya likizo....Vingine unafikiri tunajitakia kusahau sasa...
Pamoja na kuwa mmeumbwa kusahau, lakini wakati mwingine jitahidini kukumbuka.
Ni vitu vidogo sana ila vinatuumiza sana.
Hapa ni kwa ujumla, sio lazima uwe kwenye mahusiano, hata kaka, baba, mjomba nk.
Speechless....watu na Bahati zao.Nilikua nashangaa uwezo wako wa kunivumilia. Asante kwa kuonesha kiasi gani unaumia. Nitajitahidi kukumbuka.
Hilo halipunguzi upendo wangu kwako. Ukishindwa kuniambia kule njoo huku ujumbe wangu nitaujua tu.
Kujaribu tena Kaka? lolOkay, tutajaribu.
ndio dada, mambo mengi kichwani...Kujaribu tena Kaka? lol
kama vipi hivyo?Mbona vingine hamvisahau?
Vile vinavyowahusu haswaaaa.....
viseme please... au wamwogopa kaka?Vingine haviongeleki hapa...
Ila mnavijua wenyewe....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniMtu kasahau birthday nn?!
Wengine unakuta hata hawalipi hivyo wanamtegea mwanamke halafu wanasahau.Vipi siku yako ya kuzaliwa imepita kavu bila kupata ujumbe wa kheri kutoka kwa Mr....
Wakati mwingine mtuhurumie aisee sasa hali imekuwa ngumu kwelikweli muda wowote unawaaza ada za watoto... kodi ya nyumba bado kuna madogo na ndugu pia wanakutegemea so tunajikuta tunasahau hivyo vitu vidogo [emoji45][emoji45][emoji45][emoji45][emoji45]
endelea kutokuniogopa tu...Labda Kaka Mr Miller....ila wewe sikuogopi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani
Yaani mimi hata hamnipi stress. Mtu asahau au akumbuke ni sawa tu maisha yanaenda. Hata usahau kitu gani nakuangalia tu as long as sio jambo linalosababisha mtu afe.Naww yalikukuta?!
Yaani mimi hata hamnipi stress. Mtu asahau au akumbuke ni sawa tu maisha yanaenda. Hata usahau kitu gani nakuangalia tu as long as sio jambo linalosababisha mtu afe.
Eeehhh, unayaweza basi...Yaani mimi hata hamnipi stress. Mtu asahau au akumbuke ni sawa tu maisha yanaenda. Hata usahau kitu gani nakuangalia tu as long as sio jambo linalosababisha mtu afe.