fergusonema
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 119
- 15
Haya ndo matope ya wanawake wachahce ambayo nikiyaskiaga natamani kutapiaka lol!
hela ya mwanaume tena si mume ni mpenzi aisee tumeumbwa tofauti. am your love but my doesnt know you and yours doesnt know me. nipe kwa upendo pasi kuomba kabisa nalia shid aduh hapana niacheni tu niuze ice cream na karanga darasani.
You doesnt know? duuu jamani hivi ni lazma kuongea hii lugha ama ndo swaga zenyewe
inategemea!! unahisi huyo dada anakupenda kweli, inawezekana hakukupa mwanzo maana alikuwa anajaribu kulipia mwenyewe. aliposhindwa ndio akaja kwako, approach yake ni mbaya maana ana-assume upo naye just for sex, just mlipie halafu muulize kama anaupendo kwako. wengine wanabana penzi kutokana na stress za maisha, dada kabugi step lakkkini sidhani kama hakupendi
kama ktu mkitoka anakugharamia laki kwanini nimpige mzinga wa laki piga wa m5-10 manina wallah mwenyewe anapiga chini na wewe kiulain unakaa pambeni.
ukikubaliana naye inamaanisha anakuuzia penzi na sio upendo wa kweli
Inatokea kuna mdada umempenda sana,unachukua uamuzi wa kumtongoza na yeye bila hiyana anakukubalia,mnaingia kwenye mahusiano,inapita kama miezi 3 bila kukutana kimwili tangu muanze uhusiano maana kila ukimuomba penzi anakuzungusha kwa sababu mbalimbali na ahadi zisizotimilika.Unaamua kutulia tu;siku moja unapokea sms yake inasema hivi,"HONEY NAKUPENDA SANA,NAPENDA KUWA NAWE ILA KABLA SIJALALA NAWE/KUFANYA MAPENZI NAOMBA UNILIPIE PANGO LA NYUMBA MIEZI 6(72000) COZ KWASASA SINA KAMAPANI NA NIMEFULIA,JE UPO TAYARI?".sasa kama ungekuwa wewe ungefanyaje?
wewe wa mashtuzi stress kwako miye na wewe tunassume tuko peponi tu usinipige mzinga wala nisikupige na siku ukiona unadhiki hadi miguuni usintafute na mimi nikiwa hivyo sikutafuti so heshma mbele. ni upumbavu san akutegemea wanaume hasa kwenye hela.
hhahahaaa nimecheka sana coz hii huwa nafanya sana .kweli kama mwanaume simtaki lazima nimpge mzina mreefu ambao najua hawezi nipa nahapo ndo namwambia usinisumbue kama huwezi nipa hata sh flani.mja nilimwambia nina shida ya laki akaenda baada ya siku 3 kaniletea nikamwambia usinisumbue nshapata kwa mwanaume mwingine,mngine alijishaua na vilaki nikamwambia nina shida ya milioni nne sijamwona tena.hahhah lakini kama nampenda mwanaume hata kumi siombi na akinipa pesa namuliza ya nini
na hicho ndo kitu ambacho mimi nakipinga usiseme eti mimi mma wa nyumbani uliazaa nyumba kwani???? cheza basi upatu hata wa 500 kwa siku. weka kwenye kibubu uza ice cream na karanga na ubuyu hapo ndani ili upate hela yako binafsi.... aisee fuma basi vitambaa ama finyanga hata midoli uuze lol!
ukisema miye mama wa nyumban kutwa nzima unakesha kutizama filam za kanumba na unapata kila siku buku ya kukodisha ni upumbavu wala sikuonei huruma. nenda vijijini uone jinsi akiana mamawanavyohangaika ili kupata kipato lakn wa humu mjini wamekalia carolight na bongo movies imekula kwao aisee.
Inatokea kuna mdada umempenda sana,unachukua uamuzi wa kumtongoza na yeye bila hiyana anakukubalia,mnaingia kwenye mahusiano,inapita kama miezi 3 bila kukutana kimwili tangu muanze uhusiano maana kila ukimuomba penzi anakuzungusha kwa sababu mbalimbali na ahadi zisizotimilika.Unaamua kutulia tu;siku moja unapokea sms yake inasema hivi,"HONEY NAKUPENDA SANA,NAPENDA KUWA NAWE ILA KABLA SIJALALA NAWE/KUFANYA MAPENZI NAOMBA UNILIPIE PANGO LA NYUMBA MIEZI 6(72000) COZ KWASASA SINA KAMAPANI NA NIMEFULIA,JE UPO TAYARI?".sasa kama ungekuwa wewe ungefanyaje?
kwahiyo hapo ni akili ya kijana kujipima napendwa mimi ama inapendwa pochi? akishalijua hilo aamue yeye. sioni sababu ya kuendekezana kutunzana kabla ya kuoana hata siku moja na ni sawa na mtu anayemsomesha mwanamke eti siku aje amuoe mfano hai tunaona kila siku humu jamvini. sasa huyu kamlipie kodi ya pangi kisha utashuhudia kifua chuma mwingine akilala huko wewe ukikazana na kodi
Alafu nashangaa... mi nimetongoza dem kanikubalia, sasa suala la kubanjuana naomba tena???!!! Sasa alinikubalia nini?