Wanaume:utajisiakiaje.......

Wanaume:utajisiakiaje.......

Inatokea kuna mdada umempenda sana,unachukua uamuzi wa kumtongoza na yeye bila hiyana anakukubalia,mnaingia kwenye mahusiano,inapita kama miezi 3 bila kukutana kimwili tangu muanze uhusiano maana kila ukimuomba penzi anakuzungusha kwa sababu mbalimbali na ahadi zisizotimilika.Unaamua kutulia tu;siku moja unapokea sms yake inasema hivi,"HONEY NAKUPENDA SANA,NAPENDA KUWA NAWE ILA KABLA SIJALALA NAWE/KUFANYA MAPENZI NAOMBA UNILIPIE PANGO LA NYUMBA MIEZI 6(72000) COZ KWASASA SINA KAMAPANI NA NIMEFULIA,JE UPO TAYARI?".sasa kama ungekuwa wewe ungefanyaje?

Nawe jibu"honey nakupenda pia, na napenda kuwa nawe pia, ila kabla sijakupia pango lazima unipe uroda coz pesa kwangu sio tatizo ila hua zinatoka baada ya kupewa uroda".
 
mie nauchuna,.. nadelete namba yake, nafuta missed call zote, msg zote alaf na restart simu. simpigii tena.

hana adab kabisa....
 
acha kabisa aiesee mama tungaraza ni mwl wangu miaka 4 nikiwa BeD siyo leo hii wanasoma miaka 3 sijui
hahahahahaha.ungeongeza mwaka wa 5 ungekuwa daktari,hongera sana nampenda sana yule bibi,tumia nafasi hii kuwaweka sawa wasichana uwafundishao
 
kuna watu hasa wahaya wenye hela akipania demu hiyo hela anaitoa...mi kuna mshkaji wangu mmoja mhaya alikua anammaindi kweli demu wa kiarusha kila akiomba ananyimwa...siku demu alikua na shida ya laki moja akamwambia jamaa ukinisaidia laki moja penzi natoa aah jamaa alienda ATM mda ule ule...fanya mchezo na ile kitu...hiyo 72000 mbona ndogo sana hasa kama umepania kuila ile kitu
 
duh!! wanawake kama hao ndio safi kabisa yaani no longo longo u offer a service na mie nakupa K yangu hamna shida wala expectations zakijinga....ebu nipigie pande
 
hahahaaaa....hayo mi huwa naona ni usanii tu,ila kwa suala hili linanisumbua kichwa coz huyu dada nampenda ila tatizo ndio hilo.

kumpenda mtu asiyekupenda ni sawa na kusubiri MELI pale AIRPORT. - Mpoki
 
kuna watu hasa wahaya wenye hela akipania demu hiyo hela anaitoa...mi kuna mshkaji wangu mmoja mhaya alikua anammaindi kweli demu wa kiarusha kila akiomba ananyimwa...siku demu alikua na shida ya laki moja akamwambia jamaa ukinisaidia laki moja penzi natoa aah jamaa alienda ATM mda ule ule...fanya mchezo na ile kitu...hiyo 72000 mbona ndogo sana hasa kama umepania kuila ile kitu

unajua hapo ishu sio pesa,ishu ni kwamba hukutegemea kuambiwa hivyo na mtu hasa unayempenda, hapo lazima ushtuke ndugu,hata kama ndo njaa hii sasa imezidi....daaaaaaaah.
 
duh!! wanawake kama hao ndio safi kabisa yaani no longo longo u offer a service na mie nakupa K yangu hamna shida wala expectations zakijinga....ebu nipigie pande

ndugu ushawahi nunua penzi?
 
hahahha huyo huez sema anakupenda zaid kaingia kwako kimaslai TU
 
baadhi ya wanawake wamekuwa WIZI na Matapeli... mapenzi ni kati yangu mimi na wewe lakini si mimi na pesa yangu. hivi wanawake wanajua sisi wanaume pesa tunapozipata??? kama ni rahisi basi na wao na wakatafute. a true love is always UNCONDITIONAL! ningekuwa mimi tayari nimesham-disqualify na natoka mbio nyingi yani sigeuki hapo. huyo sio mwanamke ni ATM hiyo
 
Mpe tu 72k nayo ni pesa kwenye mapenzi hata kama ni ya kununua, mwambie akitaka kulipiwa mwaka akwambie kabisa bila matatizo.
 
Inatokea kuna mdada umempenda sana,unachukua uamuzi wa kumtongoza na yeye bila hiyana anakukubalia,mnaingia kwenye mahusiano,inapita kama miezi 3 bila kukutana kimwili tangu muanze uhusiano maana kila ukimuomba penzi anakuzungusha kwa sababu mbalimbali na ahadi zisizotimilika.Unaamua kutulia tu;siku moja unapokea sms yake inasema hivi,"HONEY NAKUPENDA SANA,NAPENDA KUWA NAWE ILA KABLA SIJALALA NAWE/KUFANYA MAPENZI NAOMBA UNILIPIE PANGO LA NYUMBA MIEZI 6(72000) COZ KWASASA SINA KAMAPANI NA NIMEFULIA,JE UPO TAYARI?".sasa kama ungekuwa wewe ungefanyaje?

...ebwana Mkuu,hapo kwenye red nina few coments,kama ulivosema mwenyewe kuwa;
1) ''UMEMPENDA SANA'',nazani kwa wanaojua maana ya kupenda hawawezi kushtuka chochote kuombwa hela na wapenzi wao eiza awe wa kiume/kike,sabu umesema katoa sababu kuwa hana kitu,zen wat ze hel4ze lov of my life.
2) ''MKO KWENYE UHUSIANO'',nazani hiki ni kipindi cha kuchunguzana kujua kama mwenzako ni SELFISH/MCHOYO,OMBAOMBA/MTU WA MIZINGA,HONEST/MKWELI,GOSSIP/MBEA,etc,ukishajua hayo nazani utakuwa tayari na uamuzi sahihi kwa suala lolote litakaloletwa kwako,eiza linahusu hela,msaada wa kimawazo,etc,...kwa Mie nikijua kuwa ni HONEST na si mtu wa GOSSIPS na MIZINGA,sioni hatari kulipia pango sabu najua itajilipa tuu.
3) ''MIEZI MITATU'',unamaana gani kusema miezi mitatu bila kukutana kimwili,kwamba ni muda mrefu sana kumsubiria UMPENDAYE SANA na ambaye una mpango nae wa kujenga life la pamoja4reva,hicho nazani ni kipimo chako na wengine wenye mtazamo wa ''SEX IS A MUST AS SOON AS SHE SAYS YES'',kuwa patient na watoto wa kike ili uje ule TUNDA peke yako kwa UAMINIFU uliojijengea kwa kuweza kusubiri jst4mayb MIEZI MITATU NA SIKU TATU,kufikia BREAKING POINT YAKE YEYE.

Mie wa kwangu hawezi kuomba kwa mtu baki kama hana njia au msaada wowote kifedha bila kunicheki kwanza,eiza sina kitu na pia sina njia nyingine ya kumsaidia ndo tunakubaliana awacheki watu wake anaowaamini,ambao si VIREDIO MBAO,sabu hata Mie pia nimejikuta saivi nikiwa sina kitu huwa namcheki yeye kwanza kabla ya masela,ILA SISI HUWA KAMA MMOJA WETU AKISEMA ANAKOPA,BASI HUWA ANALIPA KWELI unless asamehewe na mwenzake,au awe ameomba bila kusema ''NIKOPESHE'',hapo ukitoa hudai kitu,AND WE LOVE ONE ANAZA NA LIFE LIKO TOO FAN4US...

 
Unanikumbusha dada zetu wa jf wanaotafuta waume,baada ya kudu nae 1time nikapigwa virungu nikaamua kula kona
 
Mpe tu 72k nayo ni pesa kwenye mapenzi hata kama ni ya kununua, mwambie akitaka kulipiwa mwaka akwambie kabisa bila matatizo.

kuvuja kwa pakacha........bora nikanunue luku niendelee kuangaza maisha,leo kaanza na pango kesho yatakuja makubwa zaidi,sasa si kurudishana nyuma huko?.
 
kuvuja kwa pakacha........bora nikanunue luku niendelee kuangaza maisha,leo kaanza na pango kesho yatakuja makubwa zaidi,sasa si kurudishana nyuma huko?.

Ngoja nikwambie ndugu yangu, dunia hii hakuna cha bure inaitwa toa upewe, its matter of give and take. Huyo alikuwa mjinga njia aliyotumia si nzuri au si busara. Lakini waulize wanaume wenzio sio wale wanaume suruali, kwenye mapenzi kuhonga lazima iwe namna hii au ile....

Usitegemee kama utapewa mapenzi bure bure just for the sake of love, hayo hayapo tena. Siku hizi wanaotoa pesa lakini si ndo wanaziita zawadi. Akili kwe mkichwa
 
Haisee hiyo simple, Jibu kumwambia tulale kwanza kabla cjakupa hela then ukishamega mzigo unajichanganya!! Dem wa aina hiyo ni kahaba hafai kbs!
 
Ngoja nikwambie ndugu yangu, dunia hii hakuna cha bure inaitwa toa upewe, its matter of give and take. Huyo alikuwa mjinga njia aliyotumia si nzuri au si busara. Lakini waulize wanaume wenzio sio wale wanaume suruali, kwenye mapenzi kuhonga lazima iwe namna hii au ile....

Usitegemee kama utapewa mapenzi bure bure just for the sake of love, hayo hayapo tena. Siku hizi wanaotoa pesa lakini si ndo wanaziita zawadi. Akili kwe mkichwa

umenishtua kidogo;wanaume suruali ndio wepi hao?suala la mwanaume kuhonga ni kawaida sana hata jogoo humuonga tetea,ila kuhonga kunatakiwa kusiache maswali na mashaka kwa mhongaji,huyu mtu wangu katumia njia ambayo hata nikimuonga hiyo pesa nitabakia na maswali mengi sana kichwani bila majibu.
 
Back
Top Bottom