Wanaume wa .com

Wanaume wa .com

lahaula lwakata yani siku moja na pipi unagawa
Bebii pole mwaego, Naamini mlitumia condom.<br />
<br />
Next time omba ushauri kwangu kabla hujatoa namba za simu.
<br />
<br />
 
babu,ina maana ww bila kupewa naniliu namba yako hutoi? aisee,umenifundisha kitu muhimu sana!
Bebii pole mwaego, Naamini mlitumia condom.<br />
<br />
Next time omba ushauri kwangu kabla hujatoa namba za simu.
<br />
<br />
 
Kamata mwizi bab,..Huyo ni jambazi la mapenzi ndo maana usiku hapatikan.
 
wacha bana si mchezo vingekuwa vinapungua kila ukitumia kuna watu wangekuwa hawana tena
Kitu umepewa bure, kwanini ukibanie?<br />
<br />
King'asti naomba namba yako ya simu.
<br />
<br />
 
wacha bana si mchezo vingekuwa vinapungua kila ukitumia kuna watu wangekuwa hawana tena<br />
<br />
Au kingekuwa kinabadili jinsia, midume mingi humu ingeshakuwa mademu siku nyiiiiingi!
 
khe amekimbia bahati wakati wengine tunaitafuta?
 
Inawezekana hata ww ulimwambia upo single Bebii!!

upo kwenye pati alone anakuja mkaka anakuomba kampani anadai yuko single tena lonely sana wisho wa siku mnapeana number kesho yake anakupigia mchana inafika siku umetoka kwenye mahangaiko ni usiku saa tatu unasema ngoja nipimpigie yule kaka hata nirefresh mind loooh halooo ... halooo...sikuskii kesho uje ofsini. khaa asbui anapiga unauchuna unapiga tena usiku inazimwa kabisa..... kwani shida ni nini? au ushamba?kama una ndoa si utulie na ndoa jamani? khaaa.
 
sasa wewe kwanini upige usiku? mwenzio kapumzika wewe unamsumbua
 
upo kwenye pati alone anakuja mkaka anakuomba kampani anadai yuko single tena lonely sana wisho wa siku mnapeana number kesho yake anakupigia mchana inafika siku umetoka kwenye mahangaiko ni usiku saa tatu unasema ngoja nipimpigie yule kaka hata nirefresh mind loooh halooo ... halooo...sikuskii kesho uje ofsini. khaa asbui anapiga unauchuna unapiga tena usiku inazimwa kabisa..... kwani shida ni nini? au ushamba?kama una ndoa si utulie na ndoa jamani? khaaa.
Ukiona wa hivyo ujue msanii.
 
uliingia kichwa kichwa kuwa makini sana usipime kwa dkk
 
Wanaume wa .com hawafai kabisa. Tuwaogope kama ukoma.
 
Back
Top Bottom