Afadhali umemwambia...hajui mimi ndio Mr Right wako?labda nimfowadie za kwako maana yeye ndo huwa anazijibu
Aisee kweli...ngoja niendelee kufanya jitihada zangu zote!Khaa! We mtu vipi? Zali hilo, ushadondokewa!
<br />Bebii pole mwaego, Naamini mlitumia condom.<br />
<br />
Next time omba ushauri kwangu kabla hujatoa namba za simu.
<br />Bebii pole mwaego, Naamini mlitumia condom.<br />
<br />
Next time omba ushauri kwangu kabla hujatoa namba za simu.
Kitu umepewa bure, kwanini ukibanie?lahaula lwakata yani siku moja na pipi unagawa<br />
<br />
King'asti naomba namba yako ya simu.babu,ina maana ww bila kupewa naniliu namba yako hutoi? aisee,umenifundisha kitu muhimu sana!
<br />
<br />
<br />Kitu umepewa bure, kwanini ukibanie?<br />
<br />
King'asti naomba namba yako ya simu.
Au kingekuwa kinabadili jinsia, midume mingi humu ingeshakuwa mademu siku nyiiiiingi!wacha bana si mchezo vingekuwa vinapungua kila ukitumia kuna watu wangekuwa hawana tena<br />
<br />
<br />Au kingekuwa kinabadili jinsia, midume mingi humu ingeshakuwa mademu siku nyiiiiingi!
Hahahaha......inaelekea na wewe ungeshakuwa dume tayari...LOLhahaaaa naöna umeanza kuharibu mfungo wangu lol!kwaheri<br />
<br />
labda nimfowadie za kwako maana yeye ndo huwa anazijibu
Afadhali umemwambia...hajui mimi ndio Mr Right wako?
mhhh mr left labda
upo kwenye pati alone anakuja mkaka anakuomba kampani anadai yuko single tena lonely sana wisho wa siku mnapeana number kesho yake anakupigia mchana inafika siku umetoka kwenye mahangaiko ni usiku saa tatu unasema ngoja nipimpigie yule kaka hata nirefresh mind loooh halooo ... halooo...sikuskii kesho uje ofsini. khaa asbui anapiga unauchuna unapiga tena usiku inazimwa kabisa..... kwani shida ni nini? au ushamba?kama una ndoa si utulie na ndoa jamani? khaaa.
Ukiona wa hivyo ujue msanii.upo kwenye pati alone anakuja mkaka anakuomba kampani anadai yuko single tena lonely sana wisho wa siku mnapeana number kesho yake anakupigia mchana inafika siku umetoka kwenye mahangaiko ni usiku saa tatu unasema ngoja nipimpigie yule kaka hata nirefresh mind loooh halooo ... halooo...sikuskii kesho uje ofsini. khaa asbui anapiga unauchuna unapiga tena usiku inazimwa kabisa..... kwani shida ni nini? au ushamba?kama una ndoa si utulie na ndoa jamani? khaaa.