Wanaume wa .com

unapenda vya gizani,..lazma utakua muovu wewe na ndio maana jamaa akashtukia deal
usiku kuna raha yake bana ukiongea mchana makelele mengi
 
hahaa..!!mia
 
kupewa namba unahangaika mchana kutwa usiku kucha kumtafuta daaaah...........huyo mwanamke nae wa .com
 
<span style="font-family: franklin gothic medium"><font size="3">Wewe ndio umeharibu hapo.<br />
Ulitakiwa kusubiri awe anakutafuta,hapo ungethibitisha kuwa yupo single.<br />
Haraka zako zimekuonesha mwenzio yupo double.<br />
</font></span>
<br />
<br />
nina wasiwasi hata cku hyo ya pati jamaa aliongea maneno mawili beibii akalegea.. Ucwahii..jifanye bado mgeni,muoga,...mmnnhhh!!
 
ni mshamba bwana
mkuu kosa ulofanya ni kumfunulia ua kabla hujajua ratiba zake za mchana na usiku.bora hata huyo namba inaita wengine tunablock kabisa simu haziingii wala kutoka.inaonyesha unajua kupenda.humpi hata mda wa kupumua duh!.ulimtisha wanaume hatupendi kubanwa banwa ka mtoto mdogo.na inawezekana kweli yupo single lakini akawa busy na mambo mengine au sehemu anapokaa network inasumbua.ukienda offisini jaribu kuongea nae.mia
 
wapi nimesema nimempa ua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…