harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
- Thread starter
-
- #81
Umeuelewa Uzi?Kuna jela ndugu yangu utapewa hivyo vyote na nyapala
Sio moro tu hata huku niliko wanaenda dubaiLol..... itakua unazungumzia wa morogoro ila poa bro kubali kataa Dar ndio mambo yote... unaona vile vijana wanajichanga jus kuja kuiona dar wanaridhika.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Pole bibie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] this story tho..
Uuuuwih. My ribs oooomooo
Sasa Hivi Mmebakiwa Na Shingapi..?Mkuu soma huelewe basiii..! Hyo tuliisaka kwa mda Wa kamwezi tu tena hyo 150k ni sehemu tu ya tulioipata na ujue kila mtu alikua na 150 yake
young kilimanjaro
AsanteePole bibie
young kilimanjaro
Tusharudi kwetu kitambo tunajenga tz ya viwanda
Uko wapi nije kula chakula cha bureee... lolSio moro tu hata huku niliko wanaenda dubai
Wambie hao wamezoea sana ukifika kwenye mabanda ya chips utakuta mwanaume mzima kapiga raba chini pens eti mishikaki 3 ndizi 2 eti anaenda kulala jamani [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Tulipizungusha laki3 kama siku mbili ya tatu tukarudi zetu om kupalilia miogo yetu.
Subirini tuvune tutarudi kuwahaibisha tena
young kilimanjaro
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] ebwana weeeDuh kwa huo msosi pamoja na izo faru John angekuwa mwanaume wa daslam tayar angeshajinyea arifu si mchezo asee
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio maana mnasaidiwa wake zenuHa haa! Tofauti ya watu wa Dar na mikoani ni kuwa, watu wa Dar wanatumia akili nyingi hivyo hawahitaji misuli na watu wa mikoani wanatumia misuli hivyo hawahitaji akili nyingi na ndio maana wanakula sana.
Hawata kuelewa hata kidogoSasa mkuu unatoa pooovu! Kwani ulitaka tuje na ngapi labda? laki3 mtu mbili tena kula tu siyo ya kispot! Hii mwanaume Wa dar kama kula tu anatoboa miezi
young kilimanjaro
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wambie hao wamezoea sana ukifika kwenye mabanda ya chips utakuta mwanaume mzima kapiga raba chini pens eti mishikaki 3 ndizi 2 eti anaenda kulala jamani [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Gongolamboto cyo Dsm Mkuu??? Acha dharauUmekosea njia, umeenda Gongo la Mboto , Uwanja wa Fisi au Manzese kwa mfuga Mbwa?
Hivyo si viwanja vya mtu wa hadhi ya JF!
Ole wako kama hutapata kipundupindu jijini hapa kwa kufamakia rosti za vibudu vya Vingunguti!!
Hapo nilipobadili rangi ulimaanisha nini mkuuTulipizungusha laki3 kama siku mbili ya tatu tukarudi zetu om kupalilia miogo yetu.
Subirini tuvune tutarudi kuwahaibisha tena
young kilimanjaro
aSio gongo la mboto mkuu,
Ni sehemu kuna watu wazito na magari ya kifahari yamepaki
young kilimanjaro
[emoji23][emoji23][emoji23]Aaah!! We nae mshamba wa kiwango cha kina kitefu..sasa ulitaka tuje na milioni kwani ulisikia tulikuja kununua kiwanja!!?
young kilimanjaro
Acha ushamba kwa taarifa yako viwanja vya dar 150,000 nauli na kitimoto hela hiyo cha mtoto wee uliishia uwanja wa fisi ukirudi mikoani koroga muarubaini bakuli tano usije ukamfia mwanaoAaah!! We nae mshamba wa kiwango cha kina kitefu..sasa ulitaka tuje na milioni kwani ulisikia tulikuja kununua kiwanja!!?
young kilimanjaro
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi nahamia Tanga hivi karibuni,nimechoka mitusi,looh