Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wewe unakula chips yai kwa lite baridi na hao kaka zako pia wanakula chips yai kwa lite baridi!!......Mimi sioni kaka hapo!!Viwanja vya maana bajeti ndogo 1M, sasa 150K unawapigia kelele Kaka zangu hapa, wewe Jamaa waombe msamaha.
Labda kwa msaada wa vumbi la kongo!
Mababy zenu ni vinara wa kutumia vumbi la kongo!.....Tena hapo nimejitahidi sana maana amewadhalilisha mababy zetu
Vumbi la kongo ndo nini????Mababy zenu ni vinara wa kutumia vumbi la kongo!.....
Teh teh teh......
Madawa ya kumshtua jokaVumbi la kongo ndo nini????
Unafanana na mtu ambaye hajaenda shule! Mtu anayetumia akili (brain) anahitaji energy kubwa sanaHa haa! Tofauti ya watu wa Dar na mikoani ni kuwa, watu wa Dar wanatumia akili nyingi hivyo hawahitaji misuli na watu wa mikoani wanatumia misuli hivyo hawahitaji akili nyingi na ndio maana wanakula sana.
Nashukuru mkuu[emoji122]
young kilimanjaro
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hyu jamaa mimi namjua sanaaa!! Ni mzee wa faida na lazima atujie na ubuyu mtamuuuu!! Kuhusu wavulana Wa dar! We legeza tu.Ha ha ha
Sawa bhana
Mwenzako Joseverest amepagawa na jiji la dar,tangu aje ana wiki sasa hata JF hana hamu nayo .
Iv dar nini cha gharama kama utapanga?Mtoa mada siyo mzima sasa laki na hamsini ndo uvimbe bichwa kwl? Du aibu starehe huku ni kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetafuta mwenyeji dar kwani nime mpata sasa?ukija tena dar tutafute dada zako tukuoneshe mji
We ulitaka tuje na ngapi?Yaaan kujimek kooote kumbe bajet ni 150k duuuh!!?
Yaan nkibakiwa na hyo pesa natulia zng tu hom maana hata confidence huwa inapungua
Mzee wa faida kivipi?[emoji23] [emoji23] [emoji23] hyu jamaa mimi namjua sanaaa!! Ni mzee wa faida na lazima atujie na ubuyu mtamuuuu!! Kuhusu wavulana Wa dar! We legeza tu.
young kilimanjaro
Kumshtua joka gani?Madawa ya kumshtua joka
young kilimanjaro