Wanaume wa Dar acheni ushamba kwani kipi cha ajabu hapa?

Wanaume wa Dar acheni ushamba kwani kipi cha ajabu hapa?

Nikajua labda ubgemalizia Uzi kwakuonyesha jinsi ulivyoobdoka na madem watatu na wote ukawakojoza bado tatutatu.maana huo pia ni udhaifu mkuu wa wanadarisalama
 
A

Acha ushamba kwa taarifa yako viwanja vya dar 150,000 nauli na kitimoto hela hiyo cha mtoto wee uliishia uwanja wa fisi ukirudi mikoani koroga muarubaini bakuli tano usije ukamfia mwanao
We nae acha uvivu nenda jukwaa la biashara viwanja dar vipo ad vya laki5 sio lazima dar iwe kariakoo au posta

young kilimanjaro
 
Nikajua labda ubgemalizia Uzi kwakuonyesha jinsi ulivyoobdoka na madem watatu na wote ukawakojoza bado tatutatu.maana huo pia ni udhaifu mkuu wa wanadarisalama
Mkuu hyo ni siri ya ofice [emoji23] [emoji23] [emoji23]

young kilimanjaro
 
Mkuu njoo pm tukikubaliana ntauza ata shamba la uridhi nije dar tuyajenge

young kilimanjaro


kumbe unadharau namna hyo dogo!nimekupa likes mkuu! sasa hilo shamba la 'uridhi' ukiuza si itakuwa balaa ndg yangu!hheehhe

am yo' mama u knw
 
Yani unapanga safari ya kuja kula bata mjini na budget hiyo kweli!rudini mlipotoka aisee!
 
kumbe unadharau namna hyo dogo!nimekupa likes mkuu! sasa hilo shamba la 'uridhi' ukiuza si itakuwa balaa ndg yangu!hheehhe

am yo' mama u knw
Mkuu adui yangu mkubwa ni dharau..samahani kama umenifikiria ivyo

young kilimanjaro
 
Yani unapanga safari ya kuja kula bata mjini na budget hiyo kweli!rudini mlipotoka aisee!
Ulitaka tuje na ngapi labda?
Af anaetakiwa kutuambia turudi ni 'bashite' na sio wewe! SHUBAAMITI!!

young kilimanjaro
 
Viwanja vya maana bajeti ndogo 1M, sasa 150K unawapigia kelele Kaka zangu hapa, wewe Jamaa waombe msamaha.
Acha longo longo wewe unaweza Kula kiti Moto na faru kwa milioni moja? au ulitaka waanze kuwahonga maana ndo zenu hizo.
 
Acha longo longo wewe unaweza Kula kiti Moto na faru kwa milioni moja au ulitaka wanaaze kuwaonga maana ndo zenu hizo.
Mwambie mkuu!! Sisi tulikua na bajeti ya bata na siyo papuchi!!

young kilimanjaro
 
Ha haa! Tofauti ya watu wa Dar na mikoani ni kuwa, watu wa Dar wanatumia akili nyingi hivyo hawahitaji misuli na watu wa mikoani wanatumia misuli hivyo hawahitaji akili nyingi na ndio maana wanakula sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wasalam wakuu!
Ni iv..baada ya kusikia misifa kibao kwa hawa watu Wa 'dar es salam' kuhusu uzuri Wa kijiji chao..tukaona isiwe tabu,tukazichanga Mimi na mwanangu kama mwezi iv..lengo kwenda kusafisha macho na kupunguza ushamba wa kurushwa roho na hawa watu kila wakija huku kijijini

Siku ikafika tukajiandaa na kitita chetu cha mkwanja kila MTU akiwa na burungutu la pesa kama laki na nusu 150000 nje na nauli ya kwenda na kurudi na malazi..

Baada ya kufika dar es salaam kweli kuna vingi vilituacha mdomo wazi..aisee asikuambie mtu..kwanza kuvuka tu barabara ilikua tatizo kwetu..yale magari yanayofanana cjui ndio mwendo kasi..sasa kuna mabasi mengine mareefu af linakatika katika kama mdudu flan yan..hapa nitoe ongera kwa wana daslam kwa ujasiri..,mimi hule mgari ata kuusogelea nliogopa eroo..! Japo mwanangu akua mgeni wa huu usafiri Wa uma,ilinitoa wasi wasi lakini sikumuelewa kabisa.. siwezi kufa kabla ya wakati arifu!

Sasa niliipo ona hawa wanaume wa dar hatuwaonei kwa kejeli tunazo watupia kutoka mikoani ni pale Mimi na mwanangu tukiwa maeneo ya kujidai ile mida ya kulala Kuku..

Kwanza tumefika sehemu tukaagiza kitimoto rost kilo na nusu ili kuweka tumbo sawa,mudumu Wa vinywaji tukamuagiza faru joni..tukiwa tunamshusha huyo faru ile rost ikawasili
Kabla mudumu hajaondoka tukamwambia atuandalie kilo na nusu nyingine ya kukausha,nikamuona muduma kama kashtu ila akapotezea kafuata maagizo..kumbe hakua mudumu tu ata wanaume waliokua meza za jirani walikua wakitutumbulia mimacho bila sisi kujua sababu..
Tulipo maliza rost na kumalizia na yule faru..tukamuita Dada Wa vinywaji akatuongezie jibapa jingine..limekaribia katikati ile kitimoto ya kukausha ikawasili..hapa ndio wale wanaume Wa meza jirani walipagawa na 'viserenget lite' vyao..tumemaliza tukaongeza jipaba la tatu..aisee wale wanaume Wa dar wakaanza kutuseme cjui walifikir konyagi ishatuziba masikio hatuwasikii..
Mara cjui hawa watatufia hapa..ooh wamelogewa pombe cjui hawataweza nyanyuka..sisi tunalishusha huku tunawasikiliza hawa 'wambea Wa dar' baada ya kumaliza tukaongeza kilo moja ya kurost na Mdogo wake fara joni(ml500)
Na kuwambia watuandalie bili..
Wale wanaume na kiserenget kimoja kinanywewa masaa matatu wameduaa tu ata umbea umewaishia wametulia tulii..! wanatuangalia tu..
Yule mudumu alipo leta bili akapayuka kwa nguvu HAWA NDIO WANAUME SASA..
tukalipa tukanyanyuka tukiwa wazima kama tulivyo kuja, tukawaacha wanaume Wa dar midomo wazi..sisi haoo mwendo mdundo kwenda kulala

Sasa nyie wanaume Wa dar es salaam kama mmezoe kiepe yai na vibia biwili mkizid vi3 tena lite msitake na sisi tufanane na nyie!!
Tena ile kwetu ni kama kupiga kiwe kiatu tu sababu ya uchumi sasa sijui mkitukuta tumeuza miogo mifuko imetuna si mtazimia nyie.
PUNGUZENI USHAMBA!!




young kilimanjaro
Ha ha ha

Sawa bhana

Mwenzako Joseverest amepagawa na jiji la dar,tangu aje ana wiki sasa hata JF hana hamu nayo .
 
Back
Top Bottom