Wanaume wa Dar es salaam nao hawako nyuma huko snapchat!

Wanaume wa Dar es salaam nao hawako nyuma huko snapchat!

Wgr30

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
1,770
Reaction score
2,384
Wanaume wa Dar es salaam piteni hapa.
IMG_20171013_135444.jpg
IMG_20171013_135432.jpg
IMG_20171013_135419.jpg
IMG_20171013_135405.jpg
 
Yaani huyo mburula anaonekana kabisa ana kaushamba ka mkoani. Hapo ndio ametoka kununua simu mnadani alafu akaingia instagram akakutana na pozi za kidada akajua ndio swaga.
 
Snapchat nilitoka ktambo ungese ungese huo siutak...better Twitter master mind only
 
Vitu vingine tuwaachie dadazetu
Kwa hisan Ya jowze
 
Usikute huyo ni mshamba wa mkoani ameinstall Snapchat kwa mara ya kwanza[emoji23][emoji23]
 
Nimecheka sana huyo jamaa alosema ungese ungese huo hauataki daaah
Dar kweli imeshisha ununio.
 
Una kigezo gani cha kusema hao ni wa dar? Umewajuaje? Wana alama?
 
mi binafsi hata instagram ilinishinda sijui tatizo ni nini?
 
Back
Top Bottom