herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
🤣🤣🤣ile waliiedit haikuwa yake, alisema wake umeangalia juu tofauti na ule🤣🤣🤣 Nilifikiri kwenye pilau aliyo toa ulionekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣ile waliiedit haikuwa yake, alisema wake umeangalia juu tofauti na ule🤣🤣🤣 Nilifikiri kwenye pilau aliyo toa ulionekana
Hakuna sehemu salama kama makaburiniAisee! Huku mikoani hatuwezi kuweka kilinge juu ya makaburi eti tupige stori unaonekana kichaa ila huko Dar mna moyo kwa kweli mnalala makaburi, mnakaa mnavuta sigara makaburi wengine mpaka mapenzi refer Kinondoni, Makaburini.
Labda pia niseme kwenye majiji hata Arusha pale stand ndogo kuna masela wanalala makaburini usingizi mzuri kabisa na ndio bangi zinavutwa hapohapo, kwa kweli me siwezi michezo hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makaburi ya huku ndio vijiwe vya wahuni na vibaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We unazungumzia kuweka kilinge cha soga kitu ambacho hata wewe ukienda zika unafanya, Kuna makaburi ya kinondoni pale juu kabla ya kuzungushiwa ukuta, enzi hizo watu walikuwa wanakamata CD na kwenda mshikisha msalaba, wanaita kuendesha pikipiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ile waliiedit haikuwa yake, alisema wake umeangalia juu tofauti na ule
Bdada coca🥰🥰🥰[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkaka herman [emoji8][emoji8][emoji8]Bdada coca[emoji3059][emoji3059][emoji3059]
❤❤❤Mkaka herman [emoji8][emoji8][emoji8]
Kuko peace sana makaburini hata ukipiga shaft zako kadhaa hakuna bugudha hakuna pia usumbufu na ma potiMakaburi ya huku ndio vijiwe vya wahuni na vibaka