Wanaume wa Dar hamuyaogopi makaburi?

Hakuna sehemu salama kama makaburini
 
We unazungumzia kuweka kilinge cha soga kitu ambacho hata wewe ukienda zika unafanya, Kuna makaburi ya kinondoni pale juu kabla ya kuzungushiwa ukuta, enzi hizo watu walikuwa wanakamata CD na kwenda mshikisha msalaba, wanaita kuendesha pikipiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…