Wanaume wa Dar huogopwa zaidi na wanaume wa Mikoani

Wanaume wa dar wanaogopa wanaume wa mikoani kwenye shoo,wanaume wa dar Hamna kitu
Sifa za kijinga hizo mkuu unachosha mwili bure ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu au kuvunja mlango wa gunia kwa jiwe fatuma. tumia fundi mwingi.
 
Kama wewe ni baba wa mtoto wa kiume, hii ni sababu nyingine ya msingi ya kushiriki malezi na makuzi ya mwanao kikamilifu.
 
Wagagagigikoko wamepaniki kinyama, tulieni tu maana hata tukija vijijini huwa tunakuwa wa kwanza kula na kuwekewa maji ya Moto bafuni na wanawake zenu na tukiondoka japo tunawaachia t-shirt na jeans mrukeruke nazo vilabuni kwenu kwenye kindi na chimpumu.

Nyie endeleeni kulima mjini hakuna shamba ni hela tu.
 
Hiyo ipo kwa kila nchi au kila jamii, unadhani wa dar akienda London au NY ataangaliwa kama wa London na NY atakavyokuja Dar? au aliyetokea Somalia care yao itakuwa tofauti.Mada yako ni ya kishamba sana.
 
Kwamba mwanaume wa Dar hapati tabu kutongoza, pia anakaribishwa mikoani kama mzungu katoka ulaya😂😂😂😂😀, hakika lazima nije Dar nami nikirudi huku kibiti nichakate hizi mbususu.
Wakati waliowengi simu zao zimefungwa na rubberband.
 
Si kweli kama udhaniavyo ama kuhisi......Unajuwa wanaume wengi wa mikoani wanawacheka sana mchicha miba wa Dar na tunawashangaa kwa kuwa wajinga. Kule kushangaa kwetu si kuwaogopa nyie vijana mchicha miba bali tunajiuliza inakuwaje mtu mzima unakubali kuminywa makalio na mwanamme mwenzio ama kupakatwa huku ukibinywa pumbu na kutiwa vidole? We fika mkoa wowote ule hapa Dar kisha jitambulishe kuwa wewe ni kigarasa toka Dar uone watu watakuangaliaje.
 
Sifa za kijinga hizo mkuu unachosha mwili bure ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu au kuvunja mlango wa gunia kwa jiwe fatuma. tumia fundi mwingi.

Nimepiga kuliko…Mwili lazima uchoke
 
Wanaume wa dar vifua mbele😂😂ila wakiona panya road wanakimbia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…