Wanaume wa dar kuchapwa makofi na mademu ni dalili mbaya sana hii

Wanaume wa dar kuchapwa makofi na mademu ni dalili mbaya sana hii

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa

Husika na kichwa cha habar hapo juu


Sio kwamba nina beef na wanaume wa dar hapana sina bifu nao kabisa lakin sema hawa jamaa wanatuabisha sana wanaume wa mikoan


Kwa sasa imefika hatua hawa watu wanaolewa na wanawake tena bila aibu kabisa mtoto wa kiume unaolewa na mwanamke? Hii ni kwa dar peke yake


Yule ostaz wa din ya kisilam ostaz uchebe ambaye ni mwanaume wa dar kuchapwa makofi hadhalan na shilole ni kitu kibaya sana hiki kwa wanaume wa dar


Wanaume wa dar badiliken bhana utaolewaje na mwanamke bhana

Sasa hii aibu ya kuchapwa makofi na wanawake waliowoa mtaificha wapi nyie

Pambanen muache kutegemea madem



LONDON BABY
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Husika na kichwa cha habar hapo juu


Sio kwamba nina beef na wanaume wa dar hapana sina bifu nao kabisa lakin sema hawa jamaa wanatuabisha sana wanaume wa mikoan


Kwa sasa imefika hatua hawa watu wanaolewa na wanawake tena bila aibu kabisa mtoto wa kiume unaolewa na mwanamke? Hii ni kwa dar peke yake


Yule ostaz wa din ya kisilam ostaz uchebe ambaye ni mwanaume wa dar kuchapwa makofi hadhalan na shilole ni kitu kibaya sana hiki kwa wanaume wa dar


Wanaume wa dar badiliken bhana utaolewaje na mwanamke bhana

Sasa hii aibu ya kuchapwa makofi na wanawake waliowoa mtaificha wapi nyie

Pambanen muache kutegemea madem



LONDON BABY
Wanaume Wa Dar es Salaam Njooni Hapa
 
Inawezekana, narudia tena inawezekana hawa vijana huwa wanaingizwa matoy na hii midada ya mujini sio bure...
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Husika na kichwa cha habar hapo juu


Sio kwamba nina beef na wanaume wa dar hapana sina bifu nao kabisa lakin sema hawa jamaa wanatuabisha sana wanaume wa mikoan


Kwa sasa imefika hatua hawa watu wanaolewa na wanawake tena bila aibu kabisa mtoto wa kiume unaolewa na mwanamke? Hii ni kwa dar peke yake


Yule ostaz wa din ya kisilam ostaz uchebe ambaye ni mwanaume wa dar kuchapwa makofi hadhalan na shilole ni kitu kibaya sana hiki kwa wanaume wa dar


Wanaume wa dar badiliken bhana utaolewaje na mwanamke bhana

Sasa hii aibu ya kuchapwa makofi na wanawake waliowoa mtaificha wapi nyie

Pambanen muache kutegemea madem



LONDON BABY
Sijalisoma sana bandiko lamp lakini wewe hauko serious na umeamua kuwachekesha walonuna pia kuifutahisha nafsi yako..... Jifueaishe baby girl.
 
Inawezekana, narudia tena inawezekana hawa vijana huwa wanaingizwa matoy na hii midada ya mujini sio bure...
Itakuwa mkuu kwa akili tu ya kawaida huwez kupigwa makof na bado ukaendelea kuolewa na mwanamke
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Husika na kichwa cha habar hapo juu


Sio kwamba nina beef na wanaume wa dar hapana sina bifu nao kabisa lakin sema hawa jamaa wanatuabisha sana wanaume wa mikoan


Kwa sasa imefika hatua hawa watu wanaolewa na wanawake tena bila aibu kabisa mtoto wa kiume unaolewa na mwanamke? Hii ni kwa dar peke yake


Yule ostaz wa din ya kisilam ostaz uchebe ambaye ni mwanaume wa dar kuchapwa makofi hadhalan na shilole ni kitu kibaya sana hiki kwa wanaume wa dar


Wanaume wa dar badiliken bhana utaolewaje na mwanamke bhana

Sasa hii aibu ya kuchapwa makofi na wanawake waliowoa mtaificha wapi nyie

Pambanen muache kutegemea madem



LONDON BABY
Wewe ni mwanamke wa Dar au wa wapi?
 
Sijalisoma sana bandiko lamp lakini wewe hauko serious na umeamua kuwachekesha walonuna pia kuifutahisha nafsi yako..... Jifueaishe baby girl.
Povuuuu kupigwa makofi mnapigwa na wanawake alafu povu mleta kwangu?

Kuolewa mnaolewa nyie afu povuuuu mlete kwangu?
 
Usijali mkuu, ukiona mtu anamfuatilia mwanaume ujue ni mwanamke au shoga...

Hakuna mwanaume wa kweli anayemfuatilia mwanaume mwenzie... chunguza utaniambia mkuu...
Ni noma mkuu
 
Back
Top Bottom