Wanaume wa dar kuchapwa makofi na mademu ni dalili mbaya sana hii

Wanaume wa dar kuchapwa makofi na mademu ni dalili mbaya sana hii

Wanaume wa dar wanajidharilisha wenyewe pale tukio likitokea wanaacha kila mtu ajiokoe kwa uwezo wake, tumeona matukio mengi huwa wanashindana na wanawake kukimbia au kuiokoa nafsi yake badala ya kuonyesha uanaume wa kupambana na kuokoa wanawake wanaotambulika kuwa ni viumbe dhaifu kwa mwanaume.
 
Dah.... Mbona dada zenu wakitia timu Dar hawarudi huko kwenu... Hamjiulizi?
 
Sijabisha ...mbona una mashaka we shogaake baby?
Haya mwanaume wa Darisalama chips mayai ndio zenu...na maneno yenu hayo ya kwenye kanga tumeyazoea ila ukweli utabaki kuwa ukweli...
 
Wanaume wa Dar kwa kweli tuwaombee tu make........

1.Akihonga hata vocha lazima ataanzisha uzi.
2. Akipendwa na mke wa mtu anaanzisha uzi.
3. Akituma nauli kwa msichana anakuja hapa jukwaani anaanzisha uzi
4. Akipiga bao mbili hiyo siku atangaza mtaa mzima mzima kuwa yeye ndio kidume.
5. Akianza kutunzwa/kulelewa na jimama anafungua uzi kwa majigambo, n.k

Wanaume wa Dar kwa kweli mnatukosea heshima sisi wanaume halisi wa mikoani.
 
Back
Top Bottom