Wanaume wa Dar mnatia hasira

Kifupi wanaume wa dar wapo kama kuku wa kizungu hata ukimdondosha hakimbii hivyo anaweza hata kupigwa makofi mbele ya mkewe na asifanye lolote wapo wapo tu
 
Wanaume WA Dar wanapoanza kujitetea sasa.Ivi ile nyimbo ulomshirikisha bob junior mshaifanyia videos.Naskia kwny kichupa icho mmekata viuno sio kitoto
haswaa maana viuno ndo huleta watoto....wa mkoa mnatuharibia mji tu....style za Afande sele haziana nafasi huku...baki Malinyi ndg.
 
wanaume wa mikoa mjifunze kupiga mswaki mara mbili hadi tatu kwa siku ,mademu zenu tukiwa nao faragha wanawaponda kwa uchafu wenu....ni ngumu kumeza
 
Kwahiyo mnakubali kuwa mwanaume mmoja anadindishia wanaume wa mtaa mzima? wanaume zaidi ya mia mnahanya mbele ya chalii mmoja kisa anapiga taikondo? Pambafu kabisa, au kwakuwa dar hakuna mawe kwa street ni mchanga tu?
Hakuna kitu kama hicho huyo hajakutana na wababe na hao wa hilo eneo usikute ni jamaa wa hapo hapo wanajuana ingekuwa sehemu ingine angeshapigika
 
Hakuna kitu kama hicho huyo hajakutana na wababe na hao wa hilo eneo usikute ni jamaa wa hapo hapo wanajuana ingekuwa sehemu ingine angeshapigika
Watu humu wanapiga kelele tu ila huyo jamaa atakuwa mwenyeji tu laiti ujinga huo angefanyia nje ya hayo mazingira wala asingechomoka......watu wanaongea kijumlajumla tu ila hajakutana na maeneo ya watu waliopinda.
 
Hebu wapumzisheni hao wanaume wa Dar na nyie wa mikoani mwache kuja DAR kufanya uhalifu kwa kisingizio cha kuja kutafuta maisha, mkikwama mnaanza uhalifu.
 
Nyie ci mmegeuza ulimi ndo dusheee,chini apafanyi kazi tena na ndio maana matangazo ya nguvu za kiume yamekuwa official daslam



dah! mbavu zangu. wanaume wa dar mbona mnasemwa hivyo?
 
Si ukuje nikujaribu
 
sasa mkuu mleta maada unategemea mwanaume kama huyu anaanzaje kwa mfano!!!
 

Attachments

  • 1475746110110.jpg
    17.5 KB · Views: 26
Tatizo Buguruni Masaki kule Obey Askari wana Patrol usiku mzima huku Uswahilin kwenye maeneo Korofi hawaji mpaka wasikie CHADEMA wanataka kuandamana mutawasema Wanaume wa Dar kila siku halafu Dar tuna ndugu zetu jamani sasa mbona munawasema hivo
Sasa hilo la mtu kukabwa hadi kung'olewa macho nalo mnaangalia tu bila kufanya lolote eti mnasubiri Polisi waje?,unazijua foleni za Dar au unazisikiaga tu?Huo ni ujinga kama siyo uoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…