Wanaume wa Dar mnatia hasira

Wanaume wa Dar mnatia hasira

Awa jamaa ni hovyo Sana,ndo maana kila siku matusi dhidi yenu yanazd ongezeka.Mnasababisha Ata sie tusio na hatia kutukanwa kisa Tu et tuko Dar.

Vilianza vipanya road,vitoto vidogo,et vikawakalisha.Mizee mizima ikachezeshwa ndomboloo ya soloo.Kule Shinyanga,Kishapu, Wishiteleja atunaga ujinga kabisa.Waje waone

Leo jamaa anatolewa macho ,tena mchana kweupe,hadharani.Nyie mnaangalia,eti kisa jamaa mtata.Aisee mnatia hasira.Ngoja Ndalichako anipe cheti changu mi nilud zangu bush kulima mpunga na michembe Tu.

Nimemkumbuka jamaa flani ivi mitaa ya duce pale,alipgwa mkono na kijana mmoja,ile kusimamisha ndinga vijana wakamvaa km4,wakamchana viwembe Sana,jamaa alilowa damu hadi huruma.Ajabu apakuwa na msaada popote,watu walitazama km movie yani.

Bda ya kutokea wahuni,ndo tukazima issue ile kwa kuwakamata baadhi na wengne kukimbia.

Ivi wanaume wa Dar,akznguliwa mbele ya mke/dem/mchumba wke,uwa wanafanyagaje.Au huchukua hatua gani..


DAR HAKUNA MWANAUME, WOTE NI WANAWAKE. Wamezaliwa wanaume lakini kichwani wanawake,
 
Hahaaaa, we jamaa upate hicho cheti uondoke maana hata mwandiko umeanza kuandika kama wanaume wa dar.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani wanaume wa dar wanaandikaj?
 
Nyinyi wanaume wa mikoani mbona mnaogopa wazee wenye macho mekundu sisi hatusemi kitu.[emoji15]
 
Ndg wanaume hapa ukienda huko Buguruni wanaume wengi ndo wametokea huko kwenu kishapu,mwanhuzi,maswa nk,tatizo mkija mjini ndo waoga namba moja ujanja wenu mkiwa huko porini tu...huku mkija hata kuongea hamuwezi mnakoromewa na vitoto vidogo tu au labda sababu ya lafudhi mbovu labda.......Nakwambia na ujue waporipori km wewe ndo wanaifanya dar ionekane ya hovyo......jogoo la shamba huwa haliwiki mjini.....ujinja mkiwa huko gamboshi tu.
Wamebakia na wimbo huohuo kila uchao... "wanaume wa Dar" ndo habari ya washambani. Wanatamani waone mabasi ya mwendokasi lakini uwezo hawana... matongotongo bado yamewajaa machoni. Ujanja kwao ni kuchungulia matako ya ng'ombe na mbuzi. Vikwapa vinaachia harufu ya shombo la samaki.... Khaaa
 
Wamebakia na wimbo huohuo kila uchao... "wanaume wa Dar" ndo habari ya washambani. Wanatamani waone mabasi ya mwendokasi lakini uwezo hawana... matongotongo bado yamewajaa machoni. Ujanja kwao ni kuchungulia matako ya ng'ombe na mbuzi. Vikwapa vinaachia harufu ya shombo la samaki.... Khaaa
Mkuu pov linakutoka km umenyweshwa masabuni ya unga..
 
Kuna best angu kaenda dar bhana anaogopa kuagiza ugali, teh eti meza zote watu wanapiga viepe.
Cc: naan ngik-kundie
Huyo best wako katahiriwa au bado si rizki?
 
Awa jamaa ni hovyo Sana,ndo maana kila siku matusi dhidi yenu yanazd ongezeka.Mnasababisha Ata sie tusio na hatia kutukanwa kisa Tu et tuko Dar.

Vilianza vipanya road,vitoto vidogo,et vikawakalisha.Mizee mizima ikachezeshwa ndomboloo ya soloo.Kule Shinyanga,Kishapu, Wishiteleja atunaga ujinga kabisa.Waje waone

Leo jamaa anatolewa macho ,tena mchana kweupe,hadharani.Nyie mnaangalia,eti kisa jamaa mtata.Aisee mnatia hasira.Ngoja Ndalichako anipe cheti changu mi nilud zangu bush kulima mpunga na michembe Tu.

Nimemkumbuka jamaa flani ivi mitaa ya duce pale,alipgwa mkono na kijana mmoja,ile kusimamisha ndinga vijana wakamvaa km4,wakamchana viwembe Sana,jamaa alilowa damu hadi huruma.Ajabu apakuwa na msaada popote,watu walitazama km movie yani.

Bda ya kutokea wahuni,ndo tukazima issue ile kwa kuwakamata baadhi na wengne kukimbia.

Ivi wanaume wa Dar,akznguliwa mbele ya mke/dem/mchumba wke,uwa wanafanyagaje.Au huchukua hatua gani..


Watu wa mbeya wanamfahamu mbabe mmoja alikuwa anaitwa jombi sijui nako kule ni dar?
 
Watu wa mbeya wanamfahamu mbabe mmoja alikuwa anaitwa jombi sijui nako kule ni dar?
Hawa wa mashambani tangu waliwe tigo na watoto wa mjini kila siku wanapeleka vilio vyao kwa wanaume wa mjini.
 
Back
Top Bottom