DON SINYORI
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 511
- 417
Daaaaah juzi kati bana nilipata dharura nikaibuka jijini DSM na nikafikia kwa jamaa angu tuliesoma wote miaka ya nyuma. sasa kwakuwa safari ilikuwa ya ghafla nilienda kwa jamaa bila ya accesories muhimu kama power bank na chaja.basi ikawa hivi
mimi: mzee naona simu inakata moto niazime chaja
yeye: 21002
mimi:duuuh,maisha ya dar ndo magumu mpaka kuomba chaja unanitajia hela nyingi kiasi hicho?
yeye: wewe 21002
mimi:kaka nisaidie simu inakata moto halafu natakiwa kwenye usaili
yeye: haina shida ww 21002
yeye:sasa hiyo hela si nanunua chaja mpya kabisa
yeye: nimesema 21002.
mara simu yenyewe ikazima chaji. baadae anarudi home ndo ananiambia kwamba ei kumbe ile 21002 alimaanisha ''tumia tu''
daaaah hizi akili za mwendo kasi bana.
mimi: mzee naona simu inakata moto niazime chaja
yeye: 21002
mimi:duuuh,maisha ya dar ndo magumu mpaka kuomba chaja unanitajia hela nyingi kiasi hicho?
yeye: wewe 21002
mimi:kaka nisaidie simu inakata moto halafu natakiwa kwenye usaili
yeye: haina shida ww 21002
yeye:sasa hiyo hela si nanunua chaja mpya kabisa
yeye: nimesema 21002.
mara simu yenyewe ikazima chaji. baadae anarudi home ndo ananiambia kwamba ei kumbe ile 21002 alimaanisha ''tumia tu''
daaaah hizi akili za mwendo kasi bana.