Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Great Thinker. [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hivi wanaume wa Dar, mna matatizo gani mnadandia dandia vijineno neno kama wadada,
- Siyo kila kinachopita mnapita nacho, kuweni na akili basi
Wana lumumba ndy mnasubiria NoahSamahani mkuu wa dar sio wote ni Bavicha. Wanaume wa Bavicha hata wa mikoani wanasubiri noah tu wameacha kufanya kazi kabisa.
Una mimba ya Bavicha bila shakaSamahani mkuu wa dar sio wote ni Bavicha. Wanaume wa Bavicha hata wa mikoani wanasubiri noah tu wameacha kufanya kazi kabisa.
Hahahaaa! llikuja na ile kila kitu "amazing" Naona hata baadhi ya Magazeti hukopi hivi vimaneno!!Hahaaa, halafu umewambia ukweli yani wana vimisemo hadi kero utaskia jitu zima limekazana 'pambana na hali yako'
We endelea kusukuma mikokoteni huko bush... acha wanaume wahangaike na mikoko.Hivi wanaume wa Dar, mna matatizo gani mnadandia dandia vijineno neno kama wadada,
- Siyo kila kinachopita mnapita nacho, kuweni na akili basi
Hahaaa, halafu umewambia ukweli yani wana vimisemo hadi kero utaskia jitu zima limekazana 'pambana na hali yako'
BabuWe endelea kusukuma mikokoteni huko bush... acha wanaume wahangaike na mikoko.
Hukawii kuambiwa pambana na hali yakoHivi wanaume wa Dar, mna matatizo gani mnadandia dandia vijineno neno kama wadada,
- Siyo kila kinachopita mnapita nacho, kuweni na akili basi
Babu
Hata wewe umedandia "Wanaume wa Dar" halafu unakandia kudandia maneno.Hivi wanaume wa Dar, mna matatizo gani mnadandia dandia vijineno neno kama wadada,
- Siyo kila kinachopita mnapita nacho, kuweni na akili basi