Wanaume wa Dar na mbwembwe za kupiga mazoezi barabarani

Umecatch kabisa yani. [emoji2362] Let people do whatever sails their boat, as long as it doesn’t sink yours. Waache watu warushe vitambi vyao na wewe pambana na bata wako na mahindi yako mabichi [emoji2960]
Hao ni ndugu zangu lazima niwaambie ukweli,na nyie watu wa mjini mnaogoza kuagiza batabna kuku kutoka huku vijijini,muache kutubebesha mizigo.
 
Huu ni umama
 
Mi sio mwanaume wa dar ila mziki wa chatu naujua Kuna siku nlikuwa nawinda aiseee chatu akamdaka mbwa wangu ilibidi nipate kampan ya kumwokoa, tulimwokoa mbwa japo alivunjika
Mi niliweza kuuwa chatu mwenyewe
 
kumbuka umekuja dar na wewe yatakukuta tu. huku asubuhi utalishwa mkate na asali, hujatulia hapo shekilango maeneo la legho mchana utapigwa kitimoto na ugali (kitam balaa)🤣
usiku hujapelekwa wavuvi camp ama M.burger ukale kisinia ukitamani kurudi kwenu niite mbwa. nawewe utajiunga nao tu.
 
Mkuu tayari nimekimbia mji maisha ya kushindia slice mbili za mkate siwezi
 
Ila mkuu umewasiliba! Sasa na wewe six pack zina kazi gani? Hao hao wa Dar wanaotafuta 6 pack wameanza kulialia kwamba wanagongewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…