Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
- Thread starter
- #61
Labda hakuwa mkubwa sanaLabda hakua mkubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hakuwa mkubwa sanaLabda hakua mkubwa sana
Acha tamaa brother [emoji23]lakini mkuu kweli manahuko labda uende gm nawadogozako shemejizako dadazako namamazako wadogo
Mwanaume unaenda kusafisha kucha,huku kwetu pangani tunafua nazi na mikono!,ndo mana vikija huku vinateseka sanaKanachonga kucha?[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] wanaume wa Dar hawako serious!
Daslam asilimia kuwa maisha yao ni choka mbaya,nyumba moja watu 80Dar ni kubaya sana ukiwa apeche alolo.
Jamaa wanatuangusha sanaIla mkuu umewasiliba! Sasa na wewe six pack zina kazi gani? Hao hao wa Dar wanaotafuta 6 pack wameanza kulialia kwamba wanagongewa!
Mind your business mjini hapa. Kila mtu yupo busy na mambo yakePunguza makasiriko
😂Mkuu umebebelea bata alafu unasema dar Kunanuka
Huyo bata wako ulimvisha nepi kutoka ushongo kipumbwi au ulimuacha anaharisha mchana kutwa
[emoji23][emoji23]WA MIKOANI MNA SHIDA KWELI
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MAISHA YETU HUKU NI SAWA NA VITA
ACHENI KUTUNANGA WAKURUNGWA
Hii imeenda [emoji23]Wanawakimbia wake zao asubuhi asubuhi, kila siku kazini badala jumamosi wakae na wake zao asubuhi kurukuru barabarani na chamaana hakuna [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hii ni kweli,mtu anakimbia ameshika maji lita moja na nusu mkononi na simu tatu, inashangaza sanaUmesahau wanakuwa na maji makubwa ya kilimanjaro plus simu na earphones/headphones!!!japo sio wote ila wengi hufanya show off!
Dada ungeniambia unahitaji bata ningekuletea na unga wa muhogo,ukumbuke kidogo mambo ya nyumbani.Kwahiyo umekuja dar bila na mimi kuniletea hao bata? Sawa bwana!
Sasa mpaka niseme si ungebeba tu jamanii hilo bada sijala mda sanaDada ungeniambia unahitaji bata ningekuletea na unga wa muhogo,ukumbuke kidogo mambo ya nyumbani.
Basi next time nikija nitakuja na jogoo na makopa kabisa[emoji23]Sasa mpaka niseme si ungebeba tu jamanii hilo bada sijala mda sana
Umesema vema mkuu, mtihani upo hapo,mtu ametoka kukimbia anapiga pepsi na supu na chapati mbili unategemea nini kitokeeHaha sema umenichekesha kinacho washinda watu wengi sana hasa wanao taman kuwa na mwili mzuri ni kwenye kula
yani kitaalamu mazoez yana athiri aslimia 30% ya 100% katika mabadiliko ya mwili na hizo 70% ni muda wa kupumzika na chakula anacho tumia mwana mazoez
sasa mtu anakimbia Km 10 anaenda kunywa supu chapati 3 mchana wali nyama au ugali sembe nyama usiku ndio mke kapika kweli
sasa uyo mtu kweli ata badirika kweli?[emoji23][emoji23]
Nipo nasubiri kwa hamuBasi next time nikija nitakuja na jogoo na makopa kabisa[emoji23]
Kwani mazoezi sharti ukimbie Barabarani? Kulima bustani nyumbani kwako haiwezi kuwa mazoezi tosha?Wivi tu unakusumbua...watu wa mikoani mna ushamba mwingi sana na wengi hamsafiri yaani we ukisafiri sana ni kuja Dar...zunguka miji na majiji duniani watu ni kawaida kufanya mazoezi na jogging etc.
Maisha ya sasa ni vyema kufanya mazoezi kuepuka wimbi kubwa la magonjwa yasiyoambukizwa..