Wanaume wa Dar ni kina nani?

Kijana kijana

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
2,546
Reaction score
2,621
Habarini za muda wadau.
Mimi nimekuwa nikisikia tu mara ooh wanaume dar wanaume wa dar ila sijajua hao wanaume wa dar ni kina nani?

Ni wale wazaramo na wandengereko wapenda vigorodo?

Ama alohamia dar akakaa muda mrefu sana Mpaka akawa anaendana na mazingira yani akawa naye anakula chipsi milo mitatu,anasuka nywele,na kuwasuta wambea,na kinywaji chake soda,n.k

Au yule ambae anakaa dar hata kama hayajamuathiri mazingira ya hapo dar?

Au mwanaume wa dar ni yupi?

Naomba majibu wadau
 
Wanaogopa kumpigia mwizi kelele, kutembea kwao mwisho saa 3 usiku, wanaogopa hata sisimizi, wanapenda booster kama vile supu ya pweza na karanga + mihogo mibichi na nazi, wepesi kuchukia, n.k n.k n.k

Sifa nyingne ni kama ulizotaja mkuu.

Zipo lukuki
 
Wanaume wa Dar ni midume shababi na smart inayoonewa gere/donge na wanaume wa mikoani.Ni wanaume kamili wanaojua kupambana na hali zao.Chipsi sio sumu mkuu.Halafu wanaume wa mikoani mind ya busness.
 
Wanaume wa dar ndo wale wanaowajaza wale wanaojaa ward za kule 'leba'
 
Wanaume wa dar ndo wale wanaowajaza wale wanaojaa ward za kule 'leba'
Kweli mkuu wanaume wa Dar tunapenda sana kufyatuana na vibinti, tunaunga mkono kufyatua watoto wengi
 
Wanaume wa Dar ni midume shababi na smart inayoonewa gere/donge na wanaume wa mikoani.Ni wanaume kamili wanaojua kupambana na hali zao.Chipsi sio sumu mkuu.Halafu wanaume wa mikoani mind ya busness.
nilisema hapo mwanzo kuwa wanaume wa ni wepesi kuchukia ... Hao wanao waonea donge ni wale wanaume ambao wazazi wao ni wa Dar ili wamepangiwa kazi mikoani sasa wanataman kurudi Dar ila wanashindwa ndo maana wanakuonea gere
 
Wanaume wa Dar ni wale wanaoshobokewa na wadada wa mikoani wanapoenda matembezi huko mikoani
 
Wanakimbia panyaroad
 
Wanaume wa Dar ni midume shababi na smart inayoonewa gere/donge na wanaume wa mikoani.Ni wanaume kamili wanaojua kupambana na hali zao.Chipsi sio sumu mkuu.Halafu wanaume wa mikoani mind ya busness.
Hahaha....msemaji wa wavulana wa dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…