Wanaume wa Dar (Sinza) mmezidi

Wanaume wa Dar (Sinza) mmezidi

Godwin peter

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2019
Posts
360
Reaction score
608
Leo nimekutana na kituko cha mwaka aisee, nilikuwa maeneo ya Sinza napata chakula cha mchana ghafla jamaa akaja na mtu anakibeg mgongoni akakaa kwenye kitu huku wakiangaliana.

Baada ya muda akanyoosha mguu na kuweka kisturi kidogo kilichokuwa pale si akaanza kumkata kucha na kumsugua miguu. Dah yaani nimejiuliza maswali mengi sana ni kwamba yeye hawezi kukata kucha na kusugua miguu yake mpaka aje mtu tena mwanaume amsugue miguu, mimi najua hizo ni tabia za wanawake sasa mwanaume kusuguliwa miguu na kucha wapi na wapi au ndo staili mpya hapa mjini sisi hatujui?

Ila wanaume wa Daslam Sinza mmezidi kwa kweli.

1643029323703.png
 
Utaambiwa unatafutwa mguu wa kuvalia sendoz na vile vipensi vyao vya kuishia mapajani, maana vingine hata magotini havifiki
 
Leo nimekutana na kituko cha mwaka aisee,nilikuwa maeneo ya sinza napata chakula cha mchana ghafla jamaa akaja na mtu anakibeg mgongoni akakaa kwenye kitu huku wakiangaliana

Baada ya muda akanyoosha mguu na kuweka kisturi kidogo kilichokuwa pale si akaanza kumkata kucha na kumsugua miguu.Dah yaani nimejiuliza maswali mengi sana ni kwamba yeye hawezi kukata kucha na kusugua miguu yake mpaka aje mtu tena mwanaume amsugue miguu, mimi najua hizo ni tabia za wanawake sasa mwanaume kusuguliwa miguu na kucha wapi na wapi au ndo staili mpya hapa mjini sisi hatujui.

Ila wanaume wa daslam sinza mmezidi kwa kweli
Kwahiyo huyo jamaa anajifanya kama mawaziri na wabunge wetu ,maana wao wanafanyiwa hivyo vitu ,kusafishwa kucha kukatwa, massage, nk tena siyo na wake zao
 
Hao wa huko hata unga robo hawamalizi,kaaazi kwelikweli

Kirusi cha upungufu wa nguvu za kiume huenda kilianzia hapo na Kinondoni
 
Upuuz Sana jinaume Zima unasafishwa miguu na mwanaume mwezako kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]usicho kijua ni usiku wa giza waheshimiwa 80% bungeni na mawaziri wetu wanafanyiwa hivyo vitu .
 
Kwahiyo huyo jamaa anajifanya kama mawaziri na wabunge wetu ,maana wao wanafanyiwa hivyo vitu ,kusafishwa kucha kukatwa, massage, nk tena siyo na wake zao

Wabunge nao wanafanyiwa na wanaume wenzao au? Kama ni hivyo tunashida mahali
 
Back
Top Bottom