Ndiyo maana yake tena kuna VIP wewe unadhani wabunge na mawaziri wanajikata kucha wenyewe wakiwa mbali na familia zao ,wengi wao wanafanya nje ya familia kuna huduma profession za hivyo nikama kunyolewa ndevu tu men to manWabunge nao wanafanyiwa na wanaume wenzao au? Kama ni hivyo tunashida mahali
Ukiambiwa uthibitishe huna ushahidi maana wengine tupo mkoaniAlafu 98.5% ya JF members ni wakazi wa Dar Es Salaam. Na wengi wao wanaishi sinza na Kinondoni.
Mimi nimekuja Dar kunua water pump, then kesho naenda shambani kwangu Ruvuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe Gizani Ukisikia Sauti Ujue Limempata Mtu.Alafu 98.5% ya JF members ni wakazi wa Dar Es Salaam. Na wengi wao wanaishi sinza na Kinondoni.
Mimi nimekuja Dar kunua water pump, then kesho naenda shambani kwangu Ruvuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la nyongeza, kavaa kibukta au hukumchunguza?[emoji23][emoji23]
Kuna bukta na boxer.Alikuwa na bukta
Usiogope....Ukiambiwa uthibitishe huna ushahidi maana wengine tupo mkoani
okayUsiogope....
Inawezekana upo kwenye hiyo 1.5%, ndiyo sisi wamikoani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna bukta na boxer.
Bukta ni kama zile za wanafunzi shule za msingi, lazima zifike kwenye magoti( mapaja hayaonekani).
Boxer zinaonesha mapaja, hizi ndiyo watu wa sinza na Kinondoni hupendelea kuvaa ili waoneahe mapaja yao.
Hatari sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wapumzike kwa amani ndo tutawaacha.Wapumzisheni jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]