Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume wa ntuzu na wale wa ukuryani ndo wanaume pekee hii nchi ambao hawawezi vumilia ushenzi wa akina scorpion. Huyo anayejiita scorpion angekuwa huku kwetu kanda ya ziwa, angekuwa kashasahaulika kama aliishi dunianiMimi nitajitolea kuwabeba kwenye lorry langu kuwapeleka Dodoma halafu tunaleta wanyantuzu wa shinyanga na wakurya ndio wakae dar
Aaah kabisa mkuuWanaume wa ntuzu na wale wa ukuryani ndo wanaume pekee hii nchi ambao hawawezi vumilia ushenzi wa akina scorpion. Huyo anayejiita scorpion angekuwa huku kwetu kanda ya ziwa, angekuwa kashasahaulika kama aliishi duniani
Sema Mungu alishasemaga hatawaangamiza ila dar palitakiwa pasafishwe mkuuJamaa anachomwa visu kwa pozi, bodaboda, wauza kuku, wapita njia na wauza bidhaa sikoni wanaangalia tu, inawezekana walijua jamaa wanaigiza movie. Poor wanaume wa dar.
Inauma mkuuIt works! Sio Dar tu all township I have passed thru upuuzi huu upo....watu wanakufanyia ukatili then unaomba msaada nobody care!
Shit! Afta tukio sasa mambweha ndo wanajitokeza kukuuliza kulikoni! Kwa mifano michache Moro,Tanga,Arusha,Moshi huku Dar ikiwa ndo JAMBAZI KUU
Wakati pweza na kachori zipo kwenye mchakato, wataanza na mahindi ya kuchoma yenye ndimu na pilipili hayo pia ni mambo yaoMiundo mbinu ya visaluni na vijisehemu vyao vya kufanyia mazoezi bado havijaimarika hapo dom kiasi cha kuwatosheleza watakapofika.
Pia upatikanaji wa pweza na kachori utawakwanza wengi na kuvunja ndoa zao.