[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahaaa. Huu mpambano hauwezi isha leo wala kesho na mwisho wa siku inakuwaga ngoma droo.
Sababu sidhani kama wanaume wa Dsm pekee ndio wana hizo mambo hata mikoani zipo.
Vitapanda bei sasa.Ha haa! Hivyo viungo juzi juzi vimethibitishwa na serikali kuwa na ufanisi wa hali ya juu! Usividharau, ukifikisha miaka sitini-sabini huko utavihitaji maana mashine itakuwa haina nguvu ya kupanda Kitonga bila msaada wa viungo!
Mmoja tu??? Inaonekana katembea nao wengi au ni miongoni wa watembea na viungo au busterItakuwa alitembea na mmojawao
Ilitokea congo na lile gumbo ila kabla ya kutoka Dar zilipitia mikoani....na nyingine zimekwamia huko huko njiani....moshi..mwanza...nkKY na Konyagi je?
Hapa ngumi zinanukia kati yako na usserMambo bebi wangu.
Ingia pm nimekutumia namba yangu
Jakitoo unaelekea kupata kesi nimeona![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]