Wanaume wa Dar wanashindana urembo na dada zao!!!!

wabongo tunaiga mambo ya kipuuzi toka kwa wazungu ila yale ya msingi tunawachia wenyewe.ujinga sna

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Nilishasema muache ulimbukeni life iz change nyonyoooo
Nyie wa mikoani msokua hata na kuoga hamjui mwaoga kwa mwaka mara 2
malimbukeni kuvaa hamjui hata mapenzi ni zeroo babu we awatake nan??
 
jamani hayo ni sehemu ya maendeleo ya serikali yetu tukufu ya chama cha mapinduzi,chadema mmekalia kupinga na kukosoa kila kitu,mtuache na serekali yetu,inaytufanya tuwe wa kisasa zaidi
 
Kwani wamekulazimisha kitu?

Sent from my Kimulimuli
 
Nilishasema muache ulimbukeni life iz change nyonyoooo
Nyie wa mikoani msokua hata na kuoga hamjui mwaoga kwa mwaka mara 2
malimbukeni kuvaa hamjui hata mapenzi ni zeroo babu we awatake nan??
We ni mwanaume au mwanamke??

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
jamani hayo ni sehemu ya maendeleo ya serikali yetu tukufu ya chama cha mapinduzi,chadema mmekalia kupinga na kukosoa kila kitu,mtuache na serekali yetu,inaytufanya tuwe wa kisasa zaidi
Sidhanii kama mtukufu anapenda mapunga nchini kwake!!

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Wivu tu. Hutofautiani na walimu. Wao kazi yao ni kupinga fasheni tu. Hawajui hata wanataka suruali na sketi za namna gani. Ikija fasheni mpya tu wanaanza vita.
Fasheni ujinga hizo aisee kama ni mmoja wao jitoe. Mabinti wa kiume mnatia aibu sana. Mungu saidia kijana wangu asiingiwe na huu ufala. Mmekuwa wajinga mpaka mnakuta mmetoa mtandao a 0713

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Fasheni ujinga hizo aisee kama ni mmoja wao jitoe. Mabinti wa kiume mnatia aibu sana. Mungu saidia kijana wangu asiingiwe na huu ufala. Mmekuwa wajinga mpaka mnakuta mmetoa mtandao a 0713

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
ukiwashauri ooh we mshamba hujui kwenda na wakati?? yanii kufanana na dada zenu.ndo usasa??

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Nilishasema muache ulimbukeni life iz change nyonyoooo
Nyie wa mikoani msokua hata na kuoga hamjui mwaoga kwa mwaka mara 2
malimbukeni kuvaa hamjui hata mapenzi ni zeroo babu we awatake nan??
Naona warembo washaanza kumwaga mapovu

sianyagi boya
 
Fuatilia Maisha yako kila mtu na starehe zake, Mavazi kila mtu na aina na nchi anayopenda kuvaa, kama unavaa bado yale matambala ya kushona kwa fundi cherehani pole sana Mkuu, Dunia imebadirika sana Fuatilia watoto na wazazi wako waishi vizuri
 
Fuatilia Maisha yako kila mtu na starehe zake, Mavazi kila mtu na aina na nchi anayopenda kuvaa, kama unavaa bado yale matambala ya kushona kwa fundi cherehani pole sana Mkuu, Dunia imebadirika sana Fuatilia watoto na wazazi wako waishi vizuri
waishii vizurii kwa kuvaa pedo??no thank you bora nionekane mkoloni!kuliko kufuga mapunga nyumbani kwangu.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Umezaliwa familia ya watu wachafu, Hata kuoga sidhani kama Unajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…