Tofautisha wakati, kila kitu na wakati wake, kwanini unatumia smartphone leo hutumii Simu za tochi ? Ishu ni wakati umebadilika, Mavazi ya mtu hayakuhusu kila mtu na Maisha yake hata wakitembea uchi unawashwa nini wewe ? Mlizaliwa siku moja mpaka uwashwe ? Endelea kuvaa nguo za viraka na suruali za marindaukiwashauri ooh we mshamba hujui kwenda na wakati?? yanii kufanana na dada zenu.ndo usasa??
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Umezaliwa familia ya watu wachafu, Hata kuoga sidhani kama Unajua
we ni mwana?? mwanume unaandika lugha gani hizi??pambeeee tuuu mtuache miaka laki
Sent from my Samsung galaxy- S7 edge using Jamiiforum mobile App
nadhanii maendeleo ya sayansi na tekinolojia,haya tufanyi tuache maadili mema.silazima uvae sketi mtoto wa kiume,etii ndo unazifu.mbona kuna vijana wanavaa jeans,t-shirt,raba kali.na wanapendeza.kama ww nikijana ishi kwa utamaduni stahiki!Tofautisha wakati, kila kitu na wakati wake, kwanini unatumia smartphone leo hutumii Simu za tochi ? Ishu ni wakati umebadilika, Mavazi ya mtu hayakuhusu kila mtu na Maisha yake hata wakitembea uchi unawashwa nini wewe ? Mlizaliwa siku moja mpaka uwashwe ? Endelea kuvaa nguo za viraka na suruali za marinda
ooho kumbe kuna lugha ya kike na ya kiume haki ckujua hizo za kike ni spelling gan ebu sema maana najua keyboard ni moja tuwe ni mwana?? mwanume unaandika lugha gani hizi??
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Muuliza Harmorapanaona unaziogopa
Sawa, mshindane na dada zenu kujiremba na kutikisa viuno, mkitangulizana na dada zenu mtu kutambua yupi ni mvulana na msichana inakuwa mtihani.Mkiambiwa eti watu hawajui kuoga na wachafu, mwanaume inatakiwa kuwa smart, nadhifu sio kujikoboa.Umezaliwa familia ya watu wachafu, Hata kuoga sidhani kama Unajua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muuliza Harmorapa
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
kwanini aipende sasa,wakati hiyo ndio tanzania ya viwanda inatengenezwa,unafikiri bila wao viwanda vya nguo vitapata wapi soko?Sidhanii kama mtukufu anapenda mapunga nchini kwake!!
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Kuongezeka kwa wanaume wanaofanya scrub, mask, wanaoweka wave ni kihashiria tosha sasa wanawake wamepata washindani.
Sijambo lakushangaza kumkuta mtoto wa kiume, mwanaume amevaa jeans iliyobana miguu na kuchora mapaja yake,eti inaitwa kamatia chini .
Sasa nyie wanaume wa Dar mnataka kutonesha nini? mnashindana kuonesha mapaja yenu yalivyo nona kama dada zenu wanavyofanya?wanaume wa dar kwa thatha akitembea na dada yake inakupasa kuwa makini kuwatofautisha!wote wameweka nywele dawa,lipstick wamepaka,kijana anaukia kuliko dada yake,kavaa jeans kamati chini!
Ndo maana siku hizi hawashindi home weekend, sababu hawajiwezi wanaogopa kutekeleza majukumu yao!vijana wa mkoani wameamua kuunda tume huru.ya kukusanya maoni jinsi ya kuwanasua vijana wenzetu.
pwani kule hali ishakuwa tete!!Yahusu....wanaume wa Dar, Pwani.
Vaa majani ya migomba kama umeshikilia utamaduninadhanii maendeleo ya sayansi na tekinolojia,haya tufanyi tuache maadili mema.silazima uvae sketi mtoto wa kiume,etii ndo unazifu.mbona kuna vijana wanavaa jeans,t-shirt,raba kali.na wanapendeza.kama ww nikijana ishi kwa utamaduni stahiki!
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
pwani kule hali ishakuwa tete!!
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app