wanaume wa Dar washamba sana

wanaume wa Dar washamba sana

luziiii

Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
43
Reaction score
49
wanaume wadar wengi maisha yao mbaya harafu wanatuponda wamikoani
wengi wanakula mlo wajioni mchana unapita. wanaishi kwenye nyumba mbovu kuliko hata sisi wamikoani.

Wale waonaoishi mbali kwenda mjini wanapata tabu nauli kwao nitabu
harafu wanatuponda wamikoani.
hawapendezi wanavaa masahati malefu hawapigi pasi. hawavai viatu wanasingizia joto kilasiku ndala

mkijakwetu mnajifanya wajanja
tunafahamu maisha yenu.wanume wadar wengi niwatu wakujisifu nenda nyumbani kwake chumba kimoja pazia ktkt unawatoto wa3

acheni ujinga rudini mikoani kunamaisha mazuri kuliko dar
mnataka sifa yakusema mnaishi far? hata mkifa mbaki huko huko tutakua tunakataa kuchimba makaburi.
 
wanaume wadar wengi maisha yao mbaya harafu wanatuponda wamikoani
wengi wanakula mlo wajioni mchana unapita. wanaishi kwenye nyumba mbovu kuliko hata sisi wamikoani.

Wale waonaoishi mbali kwenda mjini wanapata tabu nauli kwao nitabu
harafu wanatuponda wamikoani.
hawapendezi wanavaa masahati malefu hawapigi pasi. hawavai viatu wanasingizia joto kilasiku ndala

mkijakwetu mnajifanya wajanja
tunafahamu maisha yenu.wanume wadar wengi niwatu wakujisifu nenda nyumbani kwake chumba kimoja pazia ktkt unawatoto wa3

acheni ujinga rudini mikoani kunamaisha mazuri kuliko dar
mnataka sifa yakusema mnaishi far? hata mkifa mbaki huko huko tutakua tunakataa kuchimba makaburi.
Jifunze kuandika kwanza ndio ulete hoja yako
 
wanaume wadar wengi maisha yao mbaya harafu wanatuponda wamikoani
wengi wanakula mlo wajioni mchana unapita. wanaishi kwenye nyumba mbovu kuliko hata sisi wamikoani.

Wale waonaoishi mbali kwenda mjini wanapata tabu nauli kwao nitabu
harafu wanatuponda wamikoani.
hawapendezi wanavaa masahati malefu hawapigi pasi. hawavai viatu wanasingizia joto kilasiku ndala

mkijakwetu mnajifanya wajanja
tunafahamu maisha yenu.wanume wadar wengi niwatu wakujisifu nenda nyumbani kwake chumba kimoja pazia ktkt unawatoto wa3

acheni ujinga rudini mikoani kunamaisha mazuri kuliko dar
mnataka sifa yakusema mnaishi far? hata mkifa mbaki huko huko tutakua tunakataa kuchimba makaburi.
Inferiority complex
 
wanaume wadar wengi maisha yao mbaya harafu wanatuponda wamikoani
wengi wanakula mlo wajioni mchana unapita. wanaishi kwenye nyumba mbovu kuliko hata sisi wamikoani.

Wale waonaoishi mbali kwenda mjini wanapata tabu nauli kwao nitabu
harafu wanatuponda wamikoani.
hawapendezi wanavaa masahati malefu hawapigi pasi. hawavai viatu wanasingizia joto kilasiku ndala

mkijakwetu mnajifanya wajanja
tunafahamu maisha yenu.wanume wadar wengi niwatu wakujisifu nenda nyumbani kwake chumba kimoja pazia ktkt unawatoto wa3

acheni ujinga rudini mikoani kunamaisha mazuri kuliko dar
mnataka sifa yakusema mnaishi far? hata mkifa mbaki huko huko tutakua tunakataa kuchimba makaburi.
Inferiority complex
 
Tatizo unaandika haraka haraka then kwa jazba, huyo uliyekutana nae sio mwanaume wa dar ni Mvulana wa dar, au Mtoto wa kiume wa dar, kwanza dar sehemu gani , kama bagamoyo sio dar hiyo [emoji17] [emoji17] [emoji17]
 
jamaa una chuki nini kimekukumba ?

yani na fadhila zote tunazowafanyia mkija mjini bado unaponda ?

umesahau mkija mnavyosumbua tuwapeleke mliman city ? beach ? kigamboni ?
huoni mnavyotuvunjia ratiba zetu kisa kuwatembeza ?
 
Lakini kweli wadar tunatumia misuaki ya brash,mikoani miti tofauti ipo
 
Back
Top Bottom