luziiii
Member
- Jan 14, 2018
- 43
- 49
wanaume wadar wengi maisha yao mbaya harafu wanatuponda wamikoani
wengi wanakula mlo wajioni mchana unapita. wanaishi kwenye nyumba mbovu kuliko hata sisi wamikoani.
Wale waonaoishi mbali kwenda mjini wanapata tabu nauli kwao nitabu
harafu wanatuponda wamikoani.
hawapendezi wanavaa masahati malefu hawapigi pasi. hawavai viatu wanasingizia joto kilasiku ndala
mkijakwetu mnajifanya wajanja
tunafahamu maisha yenu.wanume wadar wengi niwatu wakujisifu nenda nyumbani kwake chumba kimoja pazia ktkt unawatoto wa3
acheni ujinga rudini mikoani kunamaisha mazuri kuliko dar
mnataka sifa yakusema mnaishi far? hata mkifa mbaki huko huko tutakua tunakataa kuchimba makaburi.
wengi wanakula mlo wajioni mchana unapita. wanaishi kwenye nyumba mbovu kuliko hata sisi wamikoani.
Wale waonaoishi mbali kwenda mjini wanapata tabu nauli kwao nitabu
harafu wanatuponda wamikoani.
hawapendezi wanavaa masahati malefu hawapigi pasi. hawavai viatu wanasingizia joto kilasiku ndala
mkijakwetu mnajifanya wajanja
tunafahamu maisha yenu.wanume wadar wengi niwatu wakujisifu nenda nyumbani kwake chumba kimoja pazia ktkt unawatoto wa3
acheni ujinga rudini mikoani kunamaisha mazuri kuliko dar
mnataka sifa yakusema mnaishi far? hata mkifa mbaki huko huko tutakua tunakataa kuchimba makaburi.