maulana majaliwa
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 261
- 141
Tofautisha mfumo wa maisha ya kwenu maporini (mikoani) na DSM we unalala saa 2 usiku huna pa kwenda na kesho saa 11 asbh unaenda kukata majani ya ng'ombe dume la DSM tunaanza kusinzia saa 6 usiku na saa 9 usiku tuko road tumetumwa pesa za kununua mazao yenu