maulana majaliwa
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 261
- 141
Wanapizi kila dakika afu nusu saa bao 7 na si bao 30!HA HA HA NDO MANA wanapizi kila dakika yani mtu ndan ya nusu saa bao 7 tayari
Jitahidi uanze kujituma mwenyewe maana huo utumwa unao jinasibu nao si sifa njema.Tofautisha mfumo wa maisha ya kwenu maporini (mikoani) na DSM we unalala saa 2 usiku huna pa kwenda na kesho saa 11 asbh unaenda kukata majani ya ng'ombe dume la DSM tunaanza kusinzia saa 6 usiku na saa 9 usiku tuko road tumetumwa pesa za kununua mazao yenu
Hahaha.....Mtuuuwache jamani na wanaume wetu wa mwendo kasi.
Ukiwaambia wanabishahilo la waganga wa nguvu za kiume ni kweli kabisa,huku mikoani sioni mabango ya nguvu za kiume,..ila dar yamejaa
ni fursa kwa waganga
Vipo ila huku vinatumika kama mboga ya donaInasikitisha sana kuona nyie wanaume wa mikoani mkitujadili sie wa dsm kila siku halafu wanaume hawana hizo tabia nyie ni wavulana nadhani. Hivyo tunavyokula mnavitamani sema access navyo ni ngumu huko nanjilinji.
Acha hizo, utakosa dyudyu wewe mwanamke!hivi dar kuna wanaume kumbe!
Endelea kuzoea ujinga.kwel we upendodaima huna akili do not kurupuka cku nyngne hyo neno kila dk hutumika tu mfano kama kwenu kuna mtoto mdogo na anajisaidia mara kwa mara waswahili husema mtoto anakunya kila saa it doesnt mean that et kisa a day ina masaa 24 bac mtoto atakunya mara 24 teh teh unaonekana we ni muhamiaji nchi hi