Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukarimu na unyenyekevu wa wanaume weengi wa Dar unasababishwa na UDHAIFU wao. Wanayafanya hayo ili kuficha mapungufu yao. Mbona stori zao ziko nje nje sana.Wanaume wa Dar ni wakarimu saaana!!
Huo udhaifu ni upi labda!Ukarimu na unyenyekevu wa wanaume weengi wa Dar unasababishwa na UDHAIFU wao. Wanayafanya hayo ili kuficha mapungufu yao. Mbona stori zao ziko nje nje sana.
Ukitaka kuyajua haya ewe mwanaume wa mikoani, nenda Dar ukiwa smart na vijisenti vyako kiasi tu.
Kila demu yeyote simamia show vizuuri na maandalizi mazuri. At the end utajikuta geto kwako kama kituo cha tiba. Na hapo utasikia mengi sana.
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajua Sana kujiongeza sio magoigoiUkiachana na hayo wanaume wa Dar wanajua kutunza wanawake bwana. Wachache sana wenye umarioo ndo wababaifu ila wenzao wanajua kujituma kwenye matunzo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamewaiga wanaume wa dar ukiona hivyo na wanajificha sanaHata mikoani yapo saana Tu!
Sio wote wanaojua kutunza km wa mikoan ndo tunaongoza kuwatunza madem bhanaSijasema hawapo mkuu nimesema ukitoa hao marioo kaka zetu wa Dar wanajua kutunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli.Sio wote wanaojua kutunza km wa mikoan ndo tunaongoza kuwatunza madem bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wa Dar ni wakarimu saaana!!
HAKIKAA[emoji4][emoji4]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Njoo kwa wasukuma we mzigua utaona hali halisi achana na hao unaokutana nao wa mikoan km mbwa koko mkuu
HahahaHivi karibuni kumekuwa na maneno mengi khs wanaume hawa kwamba wengi wao hatuna nguvu za kiume,mara hatuwezi kwenda round2 or 3 bila kupumza nk.
Nataka nikwmbie fanya research wanaume wa dar ndio wanajua mapenzi, ndo sisi ambao tunaingia chumvini tunafanya kila aina ya uchafu kwa madem zenu hadi tig**
Ndomana madem zenu wakikutana na sisi wanawasahau nyie mnaojiita wa mkoa. Hata siku moja huji sikia demu anamsema vbaya mwanaume wa dar coz show wanaijuaa.Tunawaangalia tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Malizia story yako we dogo2019,, nilikuwa kachali dah Ahsante Mungu kwa afya na uzima 🙏
Ngoja Leo nikipata time usiku nikuchkMalizia story yako we dogo
Sawa mkuu endelea kupambana fighter mwenzanguUnadhani kukimbizana na beseni la mboga manzese kijitonyama mchezo
Amini ya kwambaSawa mkuu endelea kupambana fighter mwenzangu