Wanaume wa hii mikoa sita (6) acheni kukaa vijiweni bila kufanya kazi.

Wanaume wa hii mikoa sita (6) acheni kukaa vijiweni bila kufanya kazi.

Nimemchukua rafiki yangu nikamtembeza karibia mji mzima wa Tanga , aone kama kuna waliokaa vijiwezi au wacheza bao .

Kazunguka mpaka kasema hamna kweli nimeamini ....Kila kijiwe basi kuna bodaboda wamepaki mpaka baiskeli ....Tumerudi jioni baada ya kutoka Raskazoni yaani inaenda usiku ndio unakuta vijiwe vina watu wanakunywa kahawa ni usiku tena .


Nimekaa nae Deepsea pale forodhani anaona watu wengi ndio wanaingiza mzigoni kuvua , namwambia huu ndio mda wavuvi kuingia kazi ndio kumekucha kwao 😀 😀
 
Ongeza mikoa list ni ndefu sana kuna mikoa utawakuta kwenye vitu viwili km sio vitatu Pool table, Draft au Bao kuna mikoa nimepita nimekuta hizo sehemu wanakaa muda mwingi sana ila usichojua ni kwamba hapo kwenye hio michezo yote wanacheza kamari Pool table wanacheza kamari, Draft wanacheza kamari na hio Bao ni kamari mshindi anarudi nyumbani na kibunda
Wanaita ''ruza'' nimecheza sana , tena ujinga huo nimetemana nao hata kubet sitaki kujaribu ....Ukitoka hapo usiku aidha umepiga pesa au umepigwa .

Ugomvi kila siku , siku moja jamaa aliuliwa kisa sh. 50 mwaka 2000 .
 
Back
Top Bottom