Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Nimemchukua rafiki yangu nikamtembeza karibia mji mzima wa Tanga , aone kama kuna waliokaa vijiwezi au wacheza bao .
Kazunguka mpaka kasema hamna kweli nimeamini ....Kila kijiwe basi kuna bodaboda wamepaki mpaka baiskeli ....Tumerudi jioni baada ya kutoka Raskazoni yaani inaenda usiku ndio unakuta vijiwe vina watu wanakunywa kahawa ni usiku tena .
Nimekaa nae Deepsea pale forodhani anaona watu wengi ndio wanaingiza mzigoni kuvua , namwambia huu ndio mda wavuvi kuingia kazi ndio kumekucha kwao 😀 😀
Kazunguka mpaka kasema hamna kweli nimeamini ....Kila kijiwe basi kuna bodaboda wamepaki mpaka baiskeli ....Tumerudi jioni baada ya kutoka Raskazoni yaani inaenda usiku ndio unakuta vijiwe vina watu wanakunywa kahawa ni usiku tena .
Nimekaa nae Deepsea pale forodhani anaona watu wengi ndio wanaingiza mzigoni kuvua , namwambia huu ndio mda wavuvi kuingia kazi ndio kumekucha kwao 😀 😀