Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔

Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔

siku hizi tushawagundua, mnatuweka kwenye friend zone mpaka tunazeeka na wakati wote huo unakuta unataka nikuhudumie wakati mzigo hutoi kwahyo kwa wajanja dawa ni moja tu hit and run 🏃🏃🏃
 
Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔 Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi 😤🙌
Wiki mbona nyingi ivi .....juzi kati bwana nlienda mbeya mjini kuna rafiki yangu yupo pale soko la mwanjelwa nika ingia banda la mpesa niwekewe pesa kwenye simu niunge dk nimchk mwwnyeji wangu , kufika yule dad's wa mpesa c nika mwomba namba kiutani huwezi amini alinipa ..... tulichti txt hazikuzidi 10 akaniuliza nilipo fikia nika mwelekeza mwisho alipo funga akatia timu ....... ngoja nifupishe nilimfaidi hadi asubuhi ukizingatia na kile kibaridi ndo basi tena safari yangu ikawa poa sana ........ nimeshangaa wew unasema hata wiki hamna , mmi nlifaidika siku ile ile
 
Siyo uwongo ....kuna dem nli mpata sehem bwana chakushangaza kwake tulikutana mchana usiku kesha anza kunita baby , mara birthday yake kesho , mara gesi imeisha , mara tukionana nimjie na zawadi yenyewe anakuopangia anataka zile nguo za mazoezi na viatu vya mazoezi ...... nilichoka
 
This is the game of timing. Ulichokisema ni sawa kabisa and the vice-versa is true. Hata wanawake imagine mmekutana hata wiki haijaisha anaanza kukuomba hela. Boys kuweni makini.

In short ukiona mwanaume amekutongoza halafu akakuomba game any time soon, ujue kuna udhaifu kwako kauona au hicho ndio kilichomfanya akutongoze.

Kitu msichojua wanawake kuhusu sisi vidume ni kwamba, ninaweza kukutongoza kwa nia nzuri kabisa. Ila mazungumzo yetu na the way unavyo behave naweza ku conclude kua hapa ni penyewe au hakuna kitu hapa.

Sasa itokee niwe na conclusion nzuri ila nikiona hapa hakuna kitu huwa hatuwaambii wala hatuwapotezei ila tunataka walau tuchape ndio tukuache uende.

So be careful unapotongozwa. Kuombwa ngono inawezekana ni matokeo ya ulivyo jiweka. Nimekutongoza leo kesho kutwa unaomba pesa. Wewe unaweza kufikiri unanitega uone kama nitaweza kukuhudumia ila tafsiri yetu huwa ni tofauti kabisa. Kitakachofua nitakupa pesa unayoitaka ila huku nikiweka mazingira ya kupata game as soon as possible.

Win win situation
Unaweza usiombe ata pesa bado ukaachwa pia🤣🤣🤣...moyo kichaka oooh
 
Back
Top Bottom