Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Nakazianakazia.... kuomba hela wanawahi sana afu wanakua wachoyo wa mbunye
Yamekukuta nini??😂Nakazia
Sana tuYamekukuta nini??😂
Wiki tu, mimi kwa uzoefu wangu, demu kama niwakumla sipitishi siku mbili tatu, wengine masaa kadhaa tu toka tukutane nakulaWanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔 Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi 😤🙌
Wiki mbona nyingi ivi .....juzi kati bwana nlienda mbeya mjini kuna rafiki yangu yupo pale soko la mwanjelwa nika ingia banda la mpesa niwekewe pesa kwenye simu niunge dk nimchk mwwnyeji wangu , kufika yule dad's wa mpesa c nika mwomba namba kiutani huwezi amini alinipa ..... tulichti txt hazikuzidi 10 akaniuliza nilipo fikia nika mwelekeza mwisho alipo funga akatia timu ....... ngoja nifupishe nilimfaidi hadi asubuhi ukizingatia na kile kibaridi ndo basi tena safari yangu ikawa poa sana ........ nimeshangaa wew unasema hata wiki hamna , mmi nlifaidika siku ile ileWanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔 Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi 😤🙌
Eti anasema wiki .... wiki hiyo ni mipango ya ndoa kabisaWiki tu, mimi kwa uzoefu wangu, demu kama niwakumla sipitishi siku mbili tatu, wengine masaa kadhaa tu toka tukutane nakula
Siyo uwongo ....kuna dem nli mpata sehem bwana chakushangaza kwake tulikutana mchana usiku kesha anza kunita baby , mara birthday yake kesho , mara gesi imeisha , mara tukionana nimjie na zawadi yenyewe anakuopangia anataka zile nguo za mazoezi na viatu vya mazoezi ...... nilichokaNakazia
Hata mimi nimemshangaa aiseEti anasema wiki .... wiki hiyo ni mipango ya ndoa kabisa
Unaweza usiombe ata pesa bado ukaachwa pia🤣🤣🤣...moyo kichaka ooohThis is the game of timing. Ulichokisema ni sawa kabisa and the vice-versa is true. Hata wanawake imagine mmekutana hata wiki haijaisha anaanza kukuomba hela. Boys kuweni makini.
In short ukiona mwanaume amekutongoza halafu akakuomba game any time soon, ujue kuna udhaifu kwako kauona au hicho ndio kilichomfanya akutongoze.
Kitu msichojua wanawake kuhusu sisi vidume ni kwamba, ninaweza kukutongoza kwa nia nzuri kabisa. Ila mazungumzo yetu na the way unavyo behave naweza ku conclude kua hapa ni penyewe au hakuna kitu hapa.
Sasa itokee niwe na conclusion nzuri ila nikiona hapa hakuna kitu huwa hatuwaambii wala hatuwapotezei ila tunataka walau tuchape ndio tukuache uende.
So be careful unapotongozwa. Kuombwa ngono inawezekana ni matokeo ya ulivyo jiweka. Nimekutongoza leo kesho kutwa unaomba pesa. Wewe unaweza kufikiri unanitega uone kama nitaweza kukuhudumia ila tafsiri yetu huwa ni tofauti kabisa. Kitakachofua nitakupa pesa unayoitaka ila huku nikiweka mazingira ya kupata game as soon as possible.
Win win situation